Jiji la Dar lina uhaba wa wanawake warefu

Jiji la Dar lina uhaba wa wanawake warefu

Mkuu, huenda uko sahihi, ila kila mmoja anajichagulia haohao bila kulalamika
 
Siku zinavyozidi kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi, sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.

Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.

MCHUNGUZI HURU

Jiji limejaa wakwere,wazaramo,walugulu.....zote mbegu fupi hizi unategemea nini?...nenda kanda ya ziwa ukaone mitulinga ilivyoenda hewani!
 
Asee Mangi U are talking about urefu wa Papuchi au amaaaa???? Manake wapo MaBinti wanakaribia gusa mawingu! Au wazungumzia Dar ya wapi????
 
Siku zinavyozidi kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi, sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.

Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.

MCHUNGUZI HURU

umewalingnisha na nani ukaju ni wafupi mkuu!?.Nachojua mimi ufupi/urefu its a relative term not absolute.Mtu hawez kua mrefu/mfupi isipokua tu akilinganshwa na mwingne.
 
Siku zinavyozidi kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi, sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.

Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.

MCHUNGUZI HURU

Mkuu MCHUNGUZI HURU una zungumzia warefu kwenye dushelele au?
 
Last edited by a moderator:
sijawahi fikiria kuwa na mpenzi mwanamke mrefu hata siku moja,kwani wengi wao mabwanga kishenzi
 
wajameni na mimi naona hiyo asilimia 30 kaipunja sana angeongezaongeza.....bhasi sawaaaa tumefunga mjadala

ahahaha, tuuchukue huo mjadala tuweke kwenye file, tufungie kwenye ma shelfu halafu tulisahau kabisa mpaka ziliwe na panya au kabati liungue kama nyaraka za serekali lol. Pouwa mwaya
 
  • Thanks
Reactions: lin
Wafupi baada ya kuwalinganisha na nani? Mbona uzi wako haujitoshelezi...
 
Back
Top Bottom