Jiji la Dar lina uhaba wa wanawake warefu

Jiji la Dar lina uhaba wa wanawake warefu

Mbona warefu wengi ..tembea usiku maeneo ya salenda utawaona

kwa bahati mbaya uchunguzi wangu huwa haufanyiki eneo moja tu, hao warefu wanaweza kuwa salenda lakn maeneo mengine hawapo hivyo bado suala lipo palepale, wanawake warefu Dar wameadimika.

MCHUNGUZI HURU
 
JF imeishiwa topiki?? Huna data, then una-conclude very simple namna hii. Tupe time series analysis, tuone; mwaka 2005 kulikuwa na wanawake warefu wangapi? 2006 wanawake warefu wangapi? 2007 wanawake warefu wangapi? 2008 wanawake warefu wangapi, then...., 2014 wanawake warefu wangapi? Unakurupuka tu, kama umetoka kwenye ghetto la walevi wa pombe za kienyeji na ku-conclude rahisi namna hii? Kama huna mada ya maana, nyamaza kimya.
 
Mimi binafsi ni mrefu kwa kweli,ila uyasemayo nahc yana ukweli ndan yake...labda wapare ni wengi maana wao ndo wanaongoza kwa ufupi: nb. Wadada wa kipare mnisamehe huo ni mtazamo tu.
 
Hata wanaume pia ni wafupi mnooooooooooo shidaaaaaaaaaaa
 
JF imeishiwa topiki?? Huna data, then una-conclude very simple namna hii. Tupe time series analysis, tuone; mwaka 2005 kulikuwa na wanawake warefu wangapi? 2006 wanawake warefu wangapi? 2007 wanawake warefu wangapi? 2008 wanawake warefu wangapi, then...., 2014 wanawake warefu wangapi? Unakurupuka tu, kama umetoka kwenye ghetto la walevi wa pombe za kienyeji na ku-conclude rahisi namna hii? Kama huna mada ya maana, nyamaza kimya.

mbona mkali
 
JF imeishiwa topiki?? Huna data, then una-conclude very simple namna hii. Tupe time series analysis, tuone; mwaka 2005 kulikuwa na wanawake warefu wangapi? 2006 wanawake warefu wangapi? 2007 wanawake warefu wangapi? 2008 wanawake warefu wangapi, then...., 2014 wanawake warefu wangapi? Unakurupuka tu, kama umetoka kwenye ghetto la walevi wa pombe za kienyeji na ku-conclude rahisi namna hii? Kama huna mada ya maana, nyamaza kimya.

Maada za kilevi huchangiwa na walevi, kuchangia kwako hii thread inaonyesha hata wewe umetoka kwenye gheto la walevi vile vile. Asante

MCHUNGUZI HURU
 
Hao wanawake ni warefu wa kimo au kina?
 
JF imeishiwa topiki?? Huna data, then una-conclude very simple namna hii. Tupe time series analysis, tuone; mwaka 2005 kulikuwa na wanawake warefu wangapi? 2006 wanawake warefu wangapi? 2007 wanawake warefu wangapi? 2008 wanawake warefu wangapi, then...., 2014 wanawake warefu wangapi? Unakurupuka tu, kama umetoka kwenye ghetto la walevi wa pombe za kienyeji na ku-conclude rahisi namna hii? Kama huna mada ya maana, nyamaza kimya.

Hahahahahah mbona povu jingi au weye andunje Ni Ni??? Ndo mana tukipita kina siye mimacho inawatoka
 
Mbegu ndefu itoke wapi akati baba na kaka zetu ni wafupi? Aaaaaargh!
 
Ila ni tutam sana tujaume tufupi
, hasa kwa warefu ka mie.
 
hahahaaaaaa! Na wachina wanavozidi kuja kwa wingi ndio wataisha kabisa.
 
Back
Top Bottom