Jiji la Dar lina uhaba wa wanawake warefu

Jiji la Dar lina uhaba wa wanawake warefu

Siku zinavyozidi kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi, sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.

Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.

MCHUNGUZI HURU

Nafikiri Strong and tall men are few,and this will match with average heights of ladies of 5.5Ft to 6.0 Ft in town
 
A study led by Catherine Berkey at
Harvard University showed that dairy
protein is especially beneficial for height
growth. The research followed the growth
of more than 5,000 girls and showed that
their eventual adult height was linked to
the amount of dairy products they ate
during adolescence, with those who ate
more milk and dairy protein becoming
taller adults.
Vitamin C
One of the key vitamins for height growth
is vitamin C, which is an important
component for bone growth, according to
the National Space Biomedical Research
Institute. It is critical for growth and repair
of not only bone but also connective
tissue, such as tendons and ligaments, that
support the skeleton. To get plenty of
vitamin C, eat fresh fruits and vegetables,
such as citrus fruits, and avoid smoking,
which depletes vitamin C levels.
 
Siku zinavyozidi kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi, sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.

Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.

MCHUNGUZI HURU
Inategemea na How tall!
 
Hili ni tatizo ndio maana timu yetu ya taifa haifanikiwi maana tunaoa wanawake wafupi sana , mwanao wa kiume akimfanana mama kwa karibu imekula kwako
 
Siku zinavyozidi kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi, sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.

Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.

MCHUNGUZI HURU

Habari.

Ni kweli maneno yako. Na sababu zinazofanya uchunguzi wako kuwa wa kweli zinafuata chini kama ifuatavyo.

Kwanza. Wengi wa wanawake wa dar wanavuta Sigara kulinganisha na mikoani kutokana na kuingia mjini au kuwa wa kileo zaidi.

Pili. Dar ni mji ulioendelea na wenye viwanda, hali ya hewa inayotolewa viwandani ule moshi unaharibu vizazi ndo maana wanazaliwa wafupi ama hawakuwi inavotakiwa.

Tatu. Kukosa usingizi vizuri ni sababu moja wapo pia. Wanawake wa dar hawapati usingizi vizuri kutokana na mji wenyewe ulivo lazima uamke mapema ili uwahi kazini na kurudi unachelewa kutokana na foleni, tofauti na mikoani.

Nne. Kula mlo mzuri. Wanawake wengi wa dar hawali vizuri kutokana na jiji lenyewe kuwa bei ghali, kodi unayoilipa mkoani na dar tofauti, sasa unajikuta mtu unajibana kula ili uweze kuishi mjini, matokeo yake ndo unadumaa, na pia chakula sio kizuri, wakati mikoani wanakula vizuri na chakula kipo safi kabisa, mwanamke wa dar anashindia chipsi, nenda mkoani unakuta mdada anagonga ugali sahani nzima imejaa hadi unashangaa, mtoto ana afya, lakini wa dar wote wembamba wana maintain figure.

Tano. Kutokana na mji kutokua msafi, inasababishia wanawake wengi kuumwa mara kwa mara, hii hali sio nzuri kiafya na kusababisha kuumwa mara kwa mara, zile dawa tunazopewa hospitali ni sumu tupu, unapona lakini unajiharibu pia kama hivo haturefuki.

Sita. Wanawake wa dar ni wavivu wa mazoezi. Wao ni club club na wao, starehe nyingi, sasa mda wa mazoezi tunaukosa, kuenda hapo na hapo tu mpaka bajaji, hii hali inadumaza miili ni moja ya sababu nzuri kupelekea kuwa wafupi.

Sababu zilizotajwa hapo juu zinaua cell za mwili zinazosababisha kwenye ukuaji wa mwili, hasa kwa vijana wakike wanaokua.

Asanteni,
 
uko sawa, naona kwa wale wanaohitaji wanawake wenye caliber mbalimbali hawatapata taabu.
 
Siku zinavyozidi kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi, sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.

Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.

MCHUNGUZI HURU

Mkuu mimi mwenyewe mrefu (1.73 cm) lakini nawapenda sana tu hao "short chasis" lakini asiwe andunje kihivyo. Na wao wanapenda warefu basi vitu vinaenda. Inaitwa compensation - looking for what you are missing!
 
Habari.

Ni kweli maneno yako. Na sababu zinazofanya uchunguzi wako kuwa wa kweli zinafuata chini kama ifuatavyo.

Kwanza. Wengi wa wanawake wa dar wanavuta Sigara kulinganisha na mikoani kutokana na kuingia mjini au kuwa wa kileo zaidi.

Pili. Dar ni mji ulioendelea na wenye viwanda, hali ya hewa inayotolewa viwandani ule moshi unaharibu vizazi ndo maana wanazaliwa wafupi ama hawakuwi inavotakiwa.

Tatu. Kukosa usingizi vizuri ni sababu moja wapo pia. Wanawake wa dar hawapati usingizi vizuri kutokana na mji wenyewe ulivo lazima uamke mapema ili uwahi kazini na kurudi unachelewa kutokana na foleni, tofauti na mikoani.

Nne. Kula mlo mzuri. Wanawake wengi wa dar hawali vizuri kutokana na jiji lenyewe kuwa bei ghali, kodi unayoilipa mkoani na dar tofauti, sasa unajikuta mtu unajibana kula ili uweze kuishi mjini, matokeo yake ndo unadumaa, na pia chakula sio kizuri, wakati mikoani wanakula vizuri na chakula kipo safi kabisa, mwanamke wa dar anashindia chipsi, nenda mkoani unakuta mdada anagonga ugali sahani nzima imejaa hadi unashangaa, mtoto ana afya, lakini wa dar wote wembamba wana maintain figure.

Tano. Kutokana na mji kutokua msafi, inasababishia wanawake wengi kuumwa mara kwa mara, hii hali sio nzuri kiafya na kusababisha kuumwa mara kwa mara, zile dawa tunazopewa hospitali ni sumu tupu, unapona lakini unajiharibu pia kama hivo haturefuki.

Sita. Wanawake wa dar ni wavivu wa mazoezi. Wao ni club club na wao, starehe nyingi, sasa mda wa mazoezi tunaukosa, kuenda hapo na hapo tu mpaka bajaji, hii hali inadumaza miili ni moja ya sababu nzuri kupelekea kuwa wafupi.

Sababu zilizotajwa hapo juu zinaua cell za mwili zinazosababisha kwenye ukuaji wa mwili, hasa kwa vijana wakike wanaokua.

Asanteni,

Hizo sababu zinge apply kwa wote bila shaka
 
Kwani hawana Mbunye?


Wanayo lakini inakua fupi pia. Sasa ukitaka kuzama mzima mzima, ndio wanapiga kelele, we unasema nampa mambo unaongeza na juhudi kumbe unamuumiza mtoto wa watu masikini. lol
 
Zina apply kwa wote ndio, lakini mtoa mada kagusia upande wakikeni zaidi.

Ushaona wapi wanaume wa dar warefu. LoL

Sihitaji kuwaona maana mimi mweyewe mrefu 1.73 cm !
 
wewe utakuwa super giant,yani wasichana warefu ni wengi sana dar,ukienda kwenye ma occasion utakimbia,huo urefu unaosema wewe ni upi?


Hao wanakua wamekuja ku spend tu dar au wanasoma vyuoni lakini wanaishi mikoani. Na pia ndo maana akasema asilimia 70, kwa maana sio wote ila asilimia kubwa.
 
Shida ya kusimama kwenye daladala kila siku...!!!!
 
Back
Top Bottom