Jiji la Dar lina uhaba wa wanawake warefu

Jiji la Dar lina uhaba wa wanawake warefu

Siku zinavyozidi
kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi,
sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu
wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.

Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar
wameadimika sana.

BY: SUPU YA MAWE

polen wadada wa dar. ila ukweli ni kwamba bora mdada mfupi kuliko
mwanaume mfupi loh mm ntamkimbia. mdada mfupi akivaa highhills atanoga
tu.
 
Last edited by a moderator:
Hao warefu kwa stahili hii watapatikana
 

Attachments

  • 1420702947817.jpg
    1420702947817.jpg
    83.3 KB · Views: 204
Back
Top Bottom