Du hivi Singida ni karibu na Kenya kuliko Arusha, kuwa kidogo basi
Nimekuambia unaakili fupi sasa umedhihirisha hivyo. Kila ongezeko lina sababu tafuta sababu usiwe kama gendaeka, asiyejua kusoma stistics zaidi ya kukariri tu kwa mwezi.Kukuthihirishia namna gani ulivyo soro hizo statistics zimetolewa July na ongezeko linapimwa kila mwezi zikilinganishwa na the same month last year respectively sasa unavyoongea hii loshoro yako hapa unakua unanipa wakati mgumu sana kutambua naongea na mtu wa aina gani, mambo usiyoyajua usilete upumbavu wako nimeshakuambia hujui kitu kuhusu utalii hii sector wanaielewa wadau wewe endelea kuvua dagaa huko ziwani.
sumbai.Mwanza level yake ni Mbeya, Arusha ni level zingine View attachment 560930
Ni sebere biyee..Nawakubal wanachugga japo natokea Dar...peace Arifu
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Uwiiiiiiiiiii..Mkuu nikiwa Arusha huwa naweza kutembea kwa miguu nikiwa na mtoto mzuri kuanzia Sekei mpaka Kisongo...kwasababu hali ya hewa ni conducive isiyochosha.
Unakuta hadi mtoto mwenyewe ananiambia yanini tupande hiace bwana? mi nataka twende kwa miguu
Na hata nikifika kisongo hata chembe ya jasho sina...
ILA Dsm kutoka tu Mwenge kuingia sinza mtu unaloa na kutoka jasho kama vile ulikuwa unachochea tanuru.
LONG LIVE CHUGA.....ua blessed.
Kwanza sombetini siyo pabaya hata kidogo. Barabara za lami kila kona.Kama umeshatembea nchi zingine utagundua ni kawaida kwa majiji makubwa pia kuwa na sehemu congested ama slums ambazo kwa bongo zinautwa uswahilini.
Hata RSA kuna soweto, Nairobi kuna Kibera.
Ila hiyo bado haiondoi uzuri wa Arusha.
Arusha is a blessed city.
Aiyaaaaaaah.
Na watu wakarimu pia.Jiji tamu sana Arusha, nitarudi nakuishi tena Arusha!
Kisongo siyo porini, ila kuna maeneo mengi hayajajengwa , ni ni kutokana na asili ya watu tutokupenda kuuza mashamba yao..Kwenda huko nan asiyepajua huko maporini? Au uwanja wa ndge uliochoka ule ndo unakupa kiburi?
Ni kweli ma porters wengi ni wakurya hamna kazi nyingine wanaweza haoWatu wa Mara wengi ni porters tu kilimanjaro naona ulinusurika kifo kwenye baranko wall aka jiwe la kubusu
nimecheka sanaArusha ndiyo mji wenye miti mingi kuliko mji wowote Tanzania. Hali hii inafanya jiji hili kuwa na hali ya hewa safi na madhari nzuri ya kuvutia.
Pia Arusha ndipo wanapoishi watu wenye akili nyingi zaidi Tanzania.
Hata wanaoichuikia Arusha na watu wake wanakiri ukiweza kuishi na kutoboa Arusha basi utaweza kuishi popote Tanzania.
Long live Arusha.....Proud city with intelligent people.
Proud Arushan....
Huku ndiyo maana umeambiwa tunaishi ma fighter.
Mapenzi!mapenzi!mapenzi!ni maumivu ya mapenzi!!!Arusha ndiyo sehemu machozi yalinitoka mkurya mimi kwa kulilia penzi!!! Uwiiiiiiii,ngoja ni log off maana sitaki kumkumbuka my Jamy,opsssssss!!bye!!
Watu wa Mara wengi ni porters tu kilimanjaro naona ulinusurika kifo kwenye baranko wall aka jiwe la kubusu