Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,157
- 14,119
Hahahaha....nimeshapajua pua yako inapovutia hewa..pole sana.Usikurupuke na vigezo. Hebu soma ili kuwa jiji unatakakiwa kutimiza vigezo vingapi kati ya hivyo. Jionee aibu maana hapa unataka kujifanya unaakili na mwerevu kuliko TAMISEMI walioviweka.