Jiji la Arusha lazidi kuwa tamu

Jiji la Arusha lazidi kuwa tamu

Kwanza kabisa kimapato arusha ndio jiji la kwanza kuwekeza katika soko la hisa

We jamaa nae bwana..mpaka hua unatia aibu na huluma tu yani nikionaga comment zako za ubishi wa Arusha,uwe unatembea kidogo na kukaa huko ulikotembelea upazoee then nenda mahala pengine tena ujifunze miji ikoje

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
8a1e14597597fea90ce2fa76e594b69b.jpg
Hotel Aquline Arusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa nae bwana..mpaka hua unatia aibu na huluma tu yani nikionaga comment zako za ubishi wa Arusha,uwe unatembea kidogo na kukaa huko ulikotembelea upazoee then nenda mahala pengine tena ujifunze miji ikoje

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
Huluma [emoji117] Huruma

Wewe hata usiendelee kuandika chochote mkuu.
 
Msisahau na kero, kama ile ya pale mataa ya CRDB kwenda NMC/Ngalimi...ikifika jioni kina mama na wauza matunda wanageuza soko, wanaziba road nzima...muda si mrefu hata magari yatashindwa kupita zitapita bodaboda tu...baadae watajimilikisha barabara nzima magari yatafute kwa kupita.

Wenye mamlaka wametulia tuli, wanasubiri 'ajitolee' fyatu mmoja ashuke na isuzu wanguwangu...akipunguza kina mama kadhaa pale ndio utaona barabara itakavyoheshimiwa.
Ni kweli hilo ni tatizo kubwa sana...

Halmashauri ifanye jitihada wale kina mama waondoshwe pale mara moja
 
We jamaa nae bwana..mpaka hua unatia aibu na huluma tu yani nikionaga comment zako za ubishi wa Arusha,uwe unatembea kidogo na kukaa huko ulikotembelea upazoee then nenda mahala pengine tena ujifunze miji ikoje

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA


huluma=huruma
Jifunze kwanza kuandika vizuri then ndio uje ubishane na raia wa chuga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom