Jiji la Arusha lazidi kuwa tamu

Jiji la Arusha lazidi kuwa tamu

Mmepewa barabara nzr saana, lakini utumiaji wake utafikiri wote wamekunywa viroba... Sio vijana, sio wazee wala wanawake, tabia za viroba tuuuuu!.. Huwezi jua wanaoelekea Ngaramtoni wanaendeshea upande gani wala wanaoenda tengeru... Kwenye mataa hapo ndio utachoka... Huu mji watu wake wakorofi saaana,.. Sipendi Arusha, basi tu..
kwahiyo km hupendi arusha unataka tukusaidie nn?,,,,get a life,,,ugly loser..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmepewa barabara nzr saana, lakini utumiaji wake utafikiri wote wamekunywa viroba... Sio vijana, sio wazee wala wanawake, tabia za viroba tuuuuu!.. Huwezi jua wanaoelekea Ngaramtoni wanaendeshea upande gani wala wanaoenda tengeru... Kwenye mataa hapo ndio utachoka... Huu mji watu wake wakorofi saaana,.. Sipendi Arusha, basi tu..
Hamia Mbeya si ndio humu zimejaa siired za kuisifia mbeya,wakati hamna kitu chochotee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani hata kama unajua gari za watalii zinafananaje so shut up kitu hujui using'ang'anie kuchangia

Povu la nini na matusi, ukweli ndio huo Kenya kuna uchaguzi ambapo vurugu yaweza kutokea hivyo watalii na hata wakenya wenyewe baadhi wamekimbilia Arusha.

Pia usifikirie kila mtu anaupeo kama wako ulio sawa na samaki aina kibua. Kwa taarifa angaliaa trend miaka yote kukiwa naa uchaguzi kenya nini kinatokea Tanzania naa Kenya vivyo hivyo wakati wa uchaguzi hapa Tanzania.

Pia kasome mwenendo wa utalii kote duniani, halafu uje tena naa mapovu yako kama mtu mwenye kifafa
 
Povu la nini na matusi, ukweli ndio huo Kenya kuna uchaguzi ambapo vurugu yaweza kutokea hivyo watalii na hata wakenya wenyewe baadhi wamekimbilia Arusha.

Pia usifikirie kila mtu anaupeo kama wako ulio sawa na samaki aina kibua. Kwa taarifa angaliaa trend miaka yote kukiwa naa uchaguzi kenya nini kinatokea Tanzania naa Kenya vivyo hivyo wakati wa uchaguzi hapa Tanzania.

Pia kasome mwenendo wa utalii kote duniani, halafu uje tena naa mapovu yako kama mtu mwenye kifafa
Sasa kwanin wakimbilie arusha na isiwe mikoa mingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
img_20170808_141935_446-jpg.561143
View attachment 560874 Kwa mara ya kwanza jiji la arusha limerikodi ongezeko kubwa la idadi ya watalii nchini tofauti na vipindi vilivyopita
View attachment 560875
Ambapo mpaka sasa imerikodi watalii zaidi ya millions 2.3 ikiwa ni ongezeko la 47% huku kampuni za kitalii expeditions zikiongezeka kwa 31% hali inayotafsiriwa kama kiashiria kizuri cha sector hiyo nchini. View attachment 560876View attachment 560877
Mbona maisha ni magum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania ina mikoa masikini, na miongoni mwa mikoa masikini zaidi ni

Kagera
Mtwara
Lindi na
Mwanza

Hiyo ni kauli ya Naibu waziri mwezi uliopita...au hukuisikia?
Raisi alisema kuna mawaziri ni.......... Kwaiyo si sishangai kwa takwimu iyo... Copy that

Sent using Jamii Forums mobile app
 
img_20170808_141935_446-jpg.561143
View attachment 560874 Kwa mara ya kwanza jiji la arusha limerikodi ongezeko kubwa la idadi ya watalii nchini tofauti na vipindi vilivyopita
View attachment 560875
Ambapo mpaka sasa imerikodi watalii zaidi ya millions 2.3 ikiwa ni ongezeko la 47% huku kampuni za kitalii expeditions zikiongezeka kwa 31% hali inayotafsiriwa kama kiashiria kizuri cha sector hiyo nchini. View attachment 560876View attachment 560877
Daaah live longi ..mselaa, hakunaga kama Arusha areef. Mambo yote mazuri yanapatikana A town aise.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu acha upunguani basi... TANZANIA kuna vigezo vilivyowekwa na TAMISEMI ili mji kuwa manispaa, Jiji n.k.. vigezo vya kuwa jiji..
1. Idadi ya watu ifikie 500k
2. Iwe na uwezo wa kujihudumia kwa pato lake la ndani ambalo husimamiwa na jiji kwa angalau 95%
3. Vyuo vikuu vya kutosha
4. Viwanda vya kutosha
5. Huduma za kijamii hasa hospitali ya RUFAA,
6. Kuwe na Jumba la mikutano lenye kuhodhi shughuli za kimataifa kimataifa. ARUSHA HAINA HATA KIWANJA CHA NDEGE CHA KUTUA NDEGE KUBWA..

Hivyo vigezo kwa ukiangalia majiji yetu utagundua kuwa tunalazimisha sehemu kuwa jiji..
Hivyo basi GERMANY hawatumii vigezo hivyo kulipa eneo hadhi ya jiji..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujawahi hata kusikia habari ya ndege iliyoweka rekod ya Ku take off kwenye eneo dogo,au nitakuwa ilitua kwenye stend et?
 
Tatizo hapa kuna wapitaji wanaotokea mashariki na kuishia stendi au wanaotokea magharibi na kuishia ngarenaro. Na wengine wameishia kuiona Arusha kwenye Googlemap au TV.
Arusha kwa makazi binafsi imejengwa sana may be dar tu ndii inaipita. Investment wise Arusha ni second baada ya Dar.
Mwanza imeipita tu Arusha kwa population tena ya aina moja wakati Arusha n metropolitant city. Kila kabla, dini, taifa utaikuta Arusha. Kwa hali ya hewa, Arusha ni fresh na baridi. Tatizo la Arusha ni maeneo ya biashara, ofisi na makazi ya low class hazikupangwa vizuri kama mji mingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Povu la nini na matusi, ukweli ndio huo Kenya kuna uchaguzi ambapo vurugu yaweza kutokea hivyo watalii na hata wakenya wenyewe baadhi wamekimbilia Arusha.

Pia usifikirie kila mtu anaupeo kama wako ulio sawa na samaki aina kibua. Kwa taarifa angaliaa trend miaka yote kukiwa naa uchaguzi kenya nini kinatokea Tanzania naa Kenya vivyo hivyo wakati wa uchaguzi hapa Tanzania.

Pia kasome mwenendo wa utalii kote duniani, halafu uje tena naa mapovu yako kama mtu mwenye kifafa
Kukuthihirishia namna gani ulivyo soro hizo statistics zimetolewa July na ongezeko linapimwa kila mwezi zikilinganishwa na the same month last year respectively sasa unavyoongea hii loshoro yako hapa unakua unanipa wakati mgumu sana kutambua naongea na mtu wa aina gani, mambo usiyoyajua usilete upumbavu wako nimeshakuambia hujui kitu kuhusu utalii hii sector wanaielewa wadau wewe endelea kuvua dagaa huko ziwani.
 
Back
Top Bottom