Jiji la Arusha lazidi kuwa tamu

Jiji la Arusha lazidi kuwa tamu

Kukuthihirishia namna gani ulivyo soro hizo statistics zimetolewa July na ongezeko linapimwa kila mwezi zikilinganishwa na the same month last year respectively sasa unavyoongea hii loshoro yako hapa unakua unanipa wakati mgumu sana kutambua naongea na mtu wa aina gani, mambo usiyoyajua usilete upumbavu wako nimeshakuambia hujui kitu kuhusu utalii hii sector wanaielewa wadau wewe endelea kuvua dagaa huko ziwani.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daslam wanaishi watu wanaokaa Obey, Masaki, Msasani, Mikocheni, Mbezi Beach na Bahari Beach pekee.. Ambao kiuhasilia ni 2% ya wakazi wa Dar wote..

Wengine waliobaki wanaishi ushenzini tu, uswahilini, uchafu na umaskini ndio jadi yao.. Sijui Sinza, Kinondoni, Tabata, Kigogo, Kimara ni uchafu mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nikiwa Arusha huwa naweza kutembea kwa miguu nikiwa na mtoto mzuri kuanzia Sekei mpaka Kisongo...kwasababu hali ya hewa ni conducive isiyochosha.

Unakuta hadi mtoto mwenyewe ananiambia yanini tupande hiace bwana? mi nataka twende kwa miguu

Na hata nikifika kisongo hata chembe ya jasho sina...

ILA Dsm kutoka tu Mwenge kuingia sinza mtu unaloa na kutoka jasho kama vile ulikuwa unachochea tanuru.


LONG LIVE CHUGA.....ua blessed.
Dar ni mji wa washenzi tu.. Mimi siwezi kwenda Dar na flight ya asubuhi au mchana.. Napakia ile daladala ya FastJet ya mwisho naingia usiku at least foleni na joto vimepungua.. Na nikifika sikai ushenzini na wala situmii barabara za washenzi sijui Morogoro road, sijui Mandela Road... kuondoka ni saa 11 niwahi flight ya kwanza.. Huwa nawashangaa sana vijana wanaotafuta maisha Dar..

Hivi unaendaje kwenye starehe unakutana na foleni na joto jingi? Si unalewa hata kabla ya kufika Bar, no wonder mpaka serikali inakimbia huyo mji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arusha ni laini kama maini

SDC18256.JPG
 
Kambi ya fisi picha tafadhali...
 
Dar ni mji wa washenzi tu.. Mimi siwezi kwenda Dar na flight ya asubuhi au mchana.. Napakia ile daladala ya FastJet ya mwisho naingia usiku at least foleni na joto vimepungua.. Na nikifika sikai ushenzini na wala situmii barabara za washenzi sijui Morogoro road, sijui Mandela Road... kuondoka ni saa 11 niwahi flight ya kwanza.. Huwa nawashangaa sana vijana wanaotafuta maisha Dar..

Hivi unaendaje kwenye starehe unakutana na foleni na joto jingi? Si unalewa hata kabla ya kufika Bar, no wonder mpaka serikali inakimbia huyo mji

Sent using Jamii Forums mobile app

Na ndio Tanzania, endelea kujifariji😀
 
Arusha walikosea sana kumchagua mbunge mwenye tuhuma za ujambazi, maana watalii wote walishasimuliana kuhusu huyu jambazi. 2020 nawashauri wachague Mbunge makini wa CCM.
 
Back
Top Bottom