Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,835
Na ndio sababu ya kuwepo kwa wazungu wengi Arusha na siku hizi ni settlers sio expart tena.
Na ndio sababu ya kuwepo kwa wazungu wengi Arusha na siku hizi ni settlers sio expart tena.
Toa sababu za kukua kwa talii kuliko hapo awali maana wizara ya utalii haijamilikishwa au kubinafsishwa!Company ipi hiyo? Zitakua za poaching sababu ndio wanaokula joto ya jiwe saivi, saivi mpaka makosta ya Arusha to Moshi yanabeba watalii we unasema magari yanauzwa
Mkuu nikiwa Arusha huwa naweza kutembea kwa miguu nikiwa na mtoto mzuri kuanzia Sekei mpaka Kisongo...kwasababu hali ya hewa ni conducive isiyochosha.Mimi nashangaa wale watu wanaoishi kwenye kile kijiji kikubwa halafu wao wanaita Jiji, wanejipachika a.k.a ya Green City angali kila kona Arusha ni Green...
Nimefika Mbeya ila huo u-green sijauona
Hahaha....ila sio siri umenichekesha sana hapa ulipojilaani endapo utaisahau Arusha yako.Mkono wangu ukatike nikikusahau ewe Arusha..
Tanzania ina mikoa masikini, na miongoni mwa mikoa masikini zaidi niArusha inasifiwa sana ila haina lolote.Ni mji wa kawaida sana.Huwezi linganisha hata na Mwanza japo haipewi promo kiivyo kama Arusha
Hahaha...Mkuu huyu kuzi akirudi tena nampasua.Tatizo lako ushamba wako wa tandale unataka kushare na wana A-town. Kutokuwa na watu laki tano sio hoja. Bonn ni jiji huko ujerumani na lina watu laki 3.5. Unataka kusema dar au mwanza ni bora kuliko Bonn?
Usipende kushare ushamba wako na wana arachuga. Peleke huko shamba kwenu
Hayo mengi yalikuwa yanakwepa kodi..Company ipi hiyo? Zitakua za poaching sababu ndio wanaokula joto ya jiwe saivi, saivi mpaka makosta ya Arusha to Moshi yanabeba watalii we unasema magari yanauzwa
Kama umeshatembea nchi zingine utagundua ni kawaida kwa majiji makubwa pia kuwa na sehemu congested ama slums ambazo kwa bongo zinaitwa uswahilini.
Kumbe nawe umegundua picha ni za kijanja janja, aweke zile za arusha tuijuayo
Mapenzi ya Arusha hayaelezekiKama umeshatembea nchi zingine utagundua ni kawaida kwa majiji makubwa pia kuwa na sehemu congested ama slums ambazo kwa bongo zinautwa uswahilini.
Hata RSA kuna soweto, Nairobi kuna Kibera.
Ila hiyo bado haiondoi uzuri wa Arusha.
Arusha is a blessed city.
Huyu aliyepiga hii fundi saana ...
Hiyo picha ya kwanza hapo juu itakuwa umepiga ukiwa pale Palace Hotel ghorofani...na jengo refu la blue linaloonekana kule ni Naura Spring Hotel, ya Marehemu Mrema.Tulishamaliza huu ubishi kitambo ...Arusha ni jiji la kipekee
View attachment 561138View attachment 561139View attachment 561140
Hii picha umeipiga ukiwa hapo darajani Ilboru kwa Benson!!!!
Amri ya mkulu ndio sababu ya hiyo keroMsisahau na kero, kama ile ya pale mataa ya CRDB kwenda NMC/Ngalimi...ikifika jioni kina mama na wauza matunda wanageuza soko, wanaziba road nzima...muda si mrefu hata magari yatashindwa kupita zitapita bodaboda tu...baadae watajimilikisha barabara nzima magari yatafute kwa kupita.
Wenye mamlaka wametulia tuli, wanasubiri 'ajitolee' fyatu mmoja ashuke na isuzu wanguwangu...akipunguza kadhaa utaona barabara itakavyoheshimiwa.
Mkuu acha upunguani basi... TANZANIA kuna vigezo vilivyowekwa na TAMISEMI ili mji kuwa manispaa, Jiji n.k.. vigezo vya kuwa jiji..Tatizo lako ushamba wako wa tandale unataka kushare na wana A-town. Kutokuwa na watu laki tano sio hoja. Bonn ni jiji huko ujerumani na lina watu laki 3.5. Unataka kusema dar au mwanza ni bora kuliko Bonn?
Usipende kushare ushamba wako na wana arachuga. Peleke huko shamba kwenu
Utaonaje na unatokea mikoa isiyokuwa na changamoto ya aina yeyote
Una wivu wa kidemu mbona nyie mkija news za mikoa yenu ya Mbeya hatulalamiki1. Idadi ya watu ni pungufu ya 500,000 hapo Arusha mjini.
2. Arusha haijitegemei kwa 95% kama walivyopanga TAMISEMI. maana UTALII sio ishu za LOCAL GOVERNMENT thats why TRA ndio husimamia mapato na makusanyo pia madini nk...
HILI NI JIJI UCHWARA
Sent using Jamii Forums mobile app