Jiji la Arusha lazidi kuwa tamu

Jiji la Arusha lazidi kuwa tamu

Cha ajabu Ma co. Ya tours mengine yanauza Magari yao kwa kukosa kazi,Ma dereva wanalalamika watalii ni wachache sana.

Arusha ya sasa hivi sio ile iliyozoeleka aisee,kipindi kile watalii wa kutosha na pesa ilikua inaonekana sana.
Hahahahaha bawacha kazini..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
baa72ed0e20a689cd6d9ffc4135b7d4e.jpg
Sakina Tengeru dual carriageway under construction

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, Weka na picha za Unga Sheraton, Sekei, Unga Limited, Kijenge na Matejoo!.
Kumbe nawe umegundua picha ni za kijanja janja, aweke zile za arusha tuijuayo
 
Arusha ndiyo mji wenye miti mingi kuliko mji wowote Tanzania. Hali hii inafanya jiji hili kuwa na hali ya hewa safi na madhari nzuri ya kuvutia.

Pia Arusha ndipo wanapoishi watu wenye akili nyingi zaidi Tanzania.

Hata wanaoichuikia Arusha na watu wake wanakiri ukiweza kuishi na kutoboa Arusha basi utaweza kuishi popote Tanzania.

Long live Arusha.....Proud city with intelligent people.

Proud Arushan....
 
Arusha ndiyo mji wenye miti mingi kuliko mji wowote Tanzania. Hali hii inafanya jiji hili kuwa na hali ya hewa safi na madhari nzuri ya kuvutia.

Pia Arusha ndipo wanapoishi watu wenye akili nyingi zaidi Tanzania.

Hata wanaoichuikia Arusha na watu wake wanakiri ukiweza kuishi na kutoboa Arusha basi utaweza kuishi popote Tanzania.

Long live Arusha.....Proud city with intelligent people.

Proud Arushan....
Ahahahahhahaah watu wenye akili zaidi...!!!
 
Arusha ndiyo mji wenye miti mingi kuliko mji wowote Tanzania. Hali hii inafanya jiji hili kuwa na hali ya hewa safi na madhari nzuri ya kuvutia.

Pia Arusha ndipo wanapoishi watu wenye akili nyingi zaidi Tanzania.

Hata wanaoichuikia Arusha na watu wake wanakiri ukiweza kuishi na kutoboa Arusha basi utaweza kuishi popote Tanzania.

Long live Arusha.....Proud city with intelligent people.

Proud Arushan....
Mimi nashangaa wale watu wanaoishi kwenye kile kijiji kikubwa halafu wao wanaita Jiji, wanejipachika a.k.a ya Green City angali kila kona Arusha ni Green...

Nimefika Mbeya ila huo u-green sijauona
 
Arusha ndiyo mji wenye miti mingi kuliko mji wowote Tanzania. Hali hii inafanya jiji hili kuwa na hali ya hewa safi na madhari nzuri ya kuvutia.

Pia Arusha ndipo wanapoishi watu wenye akili nyingi zaidi Tanzania.

Hata wanaoichuikia Arusha na watu wake wanakiri ukiweza kuishi na kutoboa Arusha basi utaweza kuishi popote Tanzania.

Long live Arusha.....Proud city with intelligent people.

Proud Arushan....
AMEN
 
Back
Top Bottom