FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
Hahahahaha bawacha kazini..Cha ajabu Ma co. Ya tours mengine yanauza Magari yao kwa kukosa kazi,Ma dereva wanalalamika watalii ni wachache sana.
Arusha ya sasa hivi sio ile iliyozoeleka aisee,kipindi kile watalii wa kutosha na pesa ilikua inaonekana sana.
Sent using Jamii Forums mobile app