Una akili timamu..?? swali hilo unalionaje..?? Hilo swali ni baada ya kujua vigezo ndio maana nauliza wametumia kigezo kipi???Kabla ya kuuliza hayo, Je mnazijua vigezo vya mji kufanywa jiji?
Kama hamzijui, fatilieni. Kama mnazijua, tuambieni moja ambayo mnadhani Arusha haijatimiza ili kuwa jiji kisha tutawajibu.
Acheni maswali mepesi.
Kwanza kabisa kimapato arusha ndio jiji la kwanza kuwekeza katika soko la hisa
Wivu wa kike utakuua Arusha sio level yako peleka ufukara wako huko.1. Idadi ya watu ni pungufu ya 500,000 hapo Arusha mjini.
2. Arusha haijitegemei kwa 95% kama walivyopanga TAMISEMI. maana UTALII sio ishu za LOCAL GOVERNMENT thats why TRA ndio husimamia mapato na makusanyo pia madini nk...
HILI NI JIJI UCHWARA
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako unadhani Arusha ni level ya majiji mengine ya Tz...1. Idadi ya watu ni pungufu ya 500,000 hapo Arusha mjini.
2. Arusha haijitegemei kwa 95% kama walivyopanga TAMISEMI. maana UTALII sio ishu za LOCAL GOVERNMENT thats why TRA ndio husimamia mapato na makusanyo pia madini nk...
HILI NI JIJI UCHWARA
Sent using Jamii Forums mobile app
Welcome back againKwa mara ya kwanza mwaka huu nimefika Arusha nimeenjoy sana utalii wa ndani, nitarudi tena
Bora hata Arusha kuliko jiji kama Mbeya!Una akili timamu..?? swali hilo unalionaje..?? Hilo swali ni baada ya kujua vigezo ndio maana nauliza wametumia kigezo kipi???
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako ushamba wako wa tandale unataka kushare na wana A-town. Kutokuwa na watu laki tano sio hoja. Bonn ni jiji huko ujerumani na lina watu laki 3.5. Unataka kusema dar au mwanza ni bora kuliko Bonn?1. Idadi ya watu ni pungufu ya 500,000 hapo Arusha mjini.
2. Arusha haijitegemei kwa 95% kama walivyopanga TAMISEMI. maana UTALII sio ishu za LOCAL GOVERNMENT thats why TRA ndio husimamia mapato na makusanyo pia madini nk...
HILI NI JIJI UCHWARA
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kufananisha Arusha(The Half London ya Tz) na vitu vya kishenziArusha inasifiwa sana ila haina lolote.Ni mji wa kawaida sana.Huwezi linganisha hata na Mwanza japo haipewi promo kiivyo kama Arusha
Bro TANDALE IMEFANYA NIN MPAKA UITAJE, AU UNAONA TANDALE NDO WANATOKA WASHAMBA ENNH, KAMA NDO HIVYO HAYA TANDALE IPO KINO NDAN YA BONGO DALSALAAM TUPE YAKO KULE KISHMUNDUTatizo lako ushamba wako wa tandale unataka kushare na wana A-town. Kutokuwa na watu laki tano sio hoja. Bonn ni jiji huko ujerumani na lina watu laki 3.5. Unataka kusema dar au mwanza ni bora kuliko Bonn?
Usipende kushare ushamba wako na wana arachuga. Peleke huko shamba kwenu