Umekosea kumaliza mkuu kama ghost Rider.Nikianza ku imagine kwa circumstances ya tukio naona kama hata mchizi kafa kizembe
Yani demu anawasha moto we uko ndani baada ya ku fight utoke unaanza kumuomba afungue mlango?
Hapo ningekua mimi vyombo vya habari headlines zingeandika the return of koyla.
Yani ningepita na mlango huku nawaka kama sharukan
Caption hujaona inasemaje kipendhiiii?Mbona neema mwenyewe anaonekana mpole,mnyenyekevu na mwenye huruma (angalieni sura yake jamani)nini kimemkuta mpaka kufikia hatua hiyo jamani
Alafu Zungu mwenyewe kakaa ki mayai mayai sana.
Ndo maana alishindwa ata kuvunja dirisha aka escape.
Hakuna mwanaume hapo, wala hakuna mwanamke. Kuna mvulana mmoja, na msichana mmoja!
Hebu mwangalie mwanaume mwenyewe pale juu halafu useme kama anaweza kufanya hivyo!
Kakosa uvumilivu wa kushea dyudyu na mwanamke mwingineMbona neema mwenyewe anaonekana mpole,mnyenyekevu na mwenye huruma (angalieni sura yake jamani)nini kimemkuta mpaka kufikia hatua hiyo jamani 🥺🥺🥺🥺
Jamaa huyo maarufu kwa jina la Zungu ameuliwa kwa kuchomwa moto na mpenzi wake huyo kwa jina la Neema. Tukio limetajwa kutokea huko Mbezi Makabe, Dar jana usiku.
Sababu inadaiwa ni jamaa kutokuwa mwaminifu katika mapenzi yao ndipo mdada anadaiwa kumfungia ndani jamaa kisha kumwaga petrol na kuunguza nyumba inayodaiwa kuwa ya baba wa mdada huyo.
Kabla ya tukio hilo jana, inadaiwa Neema aliweka status mtandaoni kuashiria atafanya tukio baya huku katika status hizo akisema mtanisamehe
Zungu ambaye ametajwa kuwa kinyozi huko Mbezi, kwa upande mwingine anadaiwa alikuwa na mke na watoto wawili hivyo Neema alikuwa mpenzi wake mwingine. Kwa mujibu wa walioshuhudia nyumba ikiungua wamesema walikuwa wakisikia sauti ya Zungu akimuomba Neema amsamehe na amfungulie mlango asifariki lakini moto uliochagizwa kwa petrol unadaiwa ulikuwa mkubwa
Neema tayari inadaiwa amedakwa yupo polisi.
Je, kitendo alichofanya Neema ni sahihi?
Nini maoni yako?
View attachment 1856649
Kuwa na roho ya huruma bibieWanaume wa chipsi mayai nguvu wanatoa wapi? Amevuna alichopanda
Njoo inbox tuyajengeSimlaumu Neema hata kidogo kusema ukweli wanaume baadhi wanakera mno unavumilia mpka unachoka
Nyie tena mnaoolewa na mme mmoja wanawake wa3 wa tumbo moja?Oyaaa
Wanawake wa Kichagga/Kipare ni nomaaa. Huwezi ona Wabena wanaua waume zao. Mwanamke wa Kibena ni mvumilivu sana. Wachagga/Wapare siyo wa kuwakurupukia.
Ukioa akina Mushi ujiandae kisaikolojia.
Nikianza ku imagine kwa circumstances ya tukio naona kama hata mchizi kafa kizembe
Yani demu anawasha moto we uko ndani baada ya ku fight utoke unaanza kumuomba afungue mlango?
Hapo ningekua mimi vyombo vya habari headlines zingeandika the return of koyla.
Yani ningepita na mlango huku nawaka kama sharukan