Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,048
“ndaga”. Nnala ilisiku lwako lwa kupapigwaHeri ya kuzaliwa kinyakyusa inasemwaje?
“ndaga”. Nnala ilisiku lwako lwa kupapigwaHeri ya kuzaliwa kinyakyusa inasemwaje?
Yes yes mkuu😀😀Pisi moja Kali toka mwakaleli kwa mwafilombe
Yaani dahTu na nku!! Ikawa mpambandano! Akankoma nnine pandumbula na tuh! pasi...po atie fiki gwe ukunkoma nnino pandumbula popapo anakufa!!
Atie ana mahelu fijho ujhu nasikitika pia ulu amekunya mafi pa kibhusu cha mimi pembeni...
Jo une Ifilombe fimekanikifwe palikimokyene kutoka seghela
Hii ni bhulebhulee... Sio burebure ila maana yake sijuiHivi Wanyakyusa wana herufi "r" katika lugha yao? Nadhani ni "bule bule" na sio "bure bure"
Nakumbuka walikuwa wanamwita Nyerere "Nyelele"
"Nyelele kaleta uhulu sasa hatunywi kyai kya langi tunaweka masiwa""
Ina maana ganighwe fiki utikwiisa kunponya u nyoko?