Jicho la tatu Arusha na Lema linavyoona

01AweCZs7YcLIAKT0OAADnMuRMsCY:.mp3


Binadamu wataichapa ccm na Mungu pia ataichapa CCM.
 
WALIOMUUA LEMA HAWA HAPA!

wakazi watatu wa Jimbo la Arusha Mjini na wanachama wa CCM Kulia ni Mussa Mkanga,Agnes Mollel na Happy Kivuyo waliofungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo hilo kwa Mbunge wa Chadema Godbles Lema,wakiwa katika chumba cha Mkahakama Kuu Kanda ya Arusha leo wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa.




View attachment 51051[/QUOTE
kwa hiyo roho zao zimeridhika.
 
Mahakama zetu bado hazikohuru na huenda hatazitakuwa huru milele. Ukifuatilia kesi ilivyokuwa enandelea na aina ya hukumu iliyotolewa hakuna uhusiano!!!
 
Wana jf, ukweli ni kwamba Lema sio saaaaana. Tumtose Lema, kamanda wetu aingie bungeni....

Hapo vipi?!
 
Ukiondoa herufi e kwenye jina lako unaonekana wewe ni Magamba.

Ili uweze kugombea jifunze kuandika kiswahili fasaha. Sii udaktali ni udaktari.
Poa mkuu ngoja ni correct,sii unajua tena nilikua napanga bajeti za kampeni nikapitiwa!na vp nipate mtaji teh teh teh.
 
Jaji aliyetoa hukumu hii ni miongoni mwa majaji mabomu kabisa! Huyu haitakii mema CCM. Tena nashauri CDM wasikate rufaa ili kifo cha CCM kiwahishwe!!!! Huyu jaji apimwe akili
 
Hawa ni mashujaa na wanastahili hadhi ya kitaifa,
Lema ni mbaguzi/mdini na anachochea ukanda na ukabila, LEMA amesababisha watu waichukie Chadema Hafai wala hafai hata kidogo.
Hongera Majaji na mahakimu kwa kutenda haki.
Hongera mliomfungulia mashtaka, Mungu awalipe.
Ameeeeeeeeeeeen
Ficha upumbavu wako, usifiche hekima yako.

Arusha mjini hata mwende mkalale makaburini mtaisikia kwenye radio. Hapa tunasubiri kwa hamu kula CCM na kwenda kulala Chadema! Mtajuta kutufahamu!
 
Ewe ndg yangu ccm wanatoa hukumu tangu siku nyingi, hivi hukum ya babu seya na wanae mnaijua! Kwenye nchi yetu hatuna mahakama huru, mahakama ni ccm. Maskini babu sea hana kosa yuko jela.
 
Ni kweli lema amevuliwa ubunge na amesema hawezi kukata rufaa twende kwenye uchaguzi. Sasa swali langu kubwa ni kuwa ccm si wanaweza kufungua kesi nyingine ya fidia?na swala lingine lema anaweza kugombea tena?na katiba ya uchaguzi inasemaje?kwani katba ya jamuhuri haijatuweka wazi kivile.wataalamu wa katiba tuwekeni barabarani.
 
Tuache siasa za mtandaoni tufanye utafiti wa kina,
na ninafikiri kwa hili ccm wamekwishalijua ndio matokeo ya hukumu.
wala msishangae na kuanza kushambulia (tafakarini kisha chukueni hatua na kushauri nini kifanyike kwa wapenda mageuzi)

SABABU NI HIZI HAPA:
Kwanza matukio ya baada ya uchaguzi mkuu ulioipa CDM ushindi yaliwachukiza watu wengi haswa vurugu.
Vitendo vya Lema kuongoza mapambano watu wengi walimtafsiri kama kijana na mpenda vurugu
hivyo wazee wengi walionyesha ingawa wanakipenda chama na walimchagua lema kwaajili tu ya chama na si lema kama lema.
leo hii uchaguzi ukirudi watu wengi haswa wazee na wakinamama wananafansi kubwa ya kukipigia Ccm kwao ikiwa na maana kuwa wanataka utulivu wakifikiri kuwa baada ya uchaguzi hakutakuwa na utuvuli na hakuta kuwa na mabomuu ya machozi, kitu amabacho walikichoka mara baada ya uchaguzi uliopita
Lema alijikiti zaidi kwenye operesheni ya kikijenga chama kitaifa kitu ambacho ni kizuri pia alikuwa muda mwingi akishughulika na kesi yake, na watu watapima kazi yake kwa kipindi alichokuwa madarakani hadi kutenguliwa kuwa kawafanyia nini watu wa Arusha. Na hapa ikumbukwe ndipo CCM watakapopashikilia kwelikweli kuwa walishindwa kufanya mambo ya maendeleo, ikumbukwe kuwa hata wakati fulani Meya ya rusha aliwahikusema kuwa Lema anapinga kila kitu hata mambo ya maendeleo wakati akiongelea kuhusu ujenzi wa eneo la kaloleni.

Kunahitajika jitihada za dhadhi na kuhakikisha kuwa CDM hawapotezi kura za wazee na akinamama hao

Sio tu kufikiria ushidni na ushabiki kutika kwa makundi ya vijana wa jiji la Arusha lakini CDM inapaswa kutizama kwa kina changamoto kama hizi ili kulizibiti jimbo

Ikizingatiwa pia kuwa wanasema Lema ni kijana mdogo kiasi serekali imekuwa ikimtharau kwa kutomsikiliza.

lakini pia ikumbukwe kuwa jiji la Arusha ni miongoni mwa miji mikubwa Tanzania nafikiri kibiashara na kimtazamo ni baada ya Dar es salaam. Ambapo shughuli nyingi kama za utalii, makao makuu ya EAC na mahakama ya kimataifa ya mauaju ya Rwanda wanaendesha shughuli zao.

Ikumbukwe Baada ya uchaguzi hata baadhi ya mikutano ilihamishiwa dar au kwa chuki au kwa nia ya kuja kujenga hoja sasa kuwa ilibidi kufanya hivyo kwakuwa jiji hili halikuwa salama tena kwani liko chini ya Upinzani.

Ikumbukwe kuwa iliwahi kusemwa hapa na pengine kuwa hata Kiongozi mkuu wa nchi alikuwa anajishauri juu ya kuja Arusha.

Mambo mengi yalifwanywa ili kujenga mazingira mazuri ya ushindi kwa ccm sasa

KAMA CHADEMA WANALITA HILI JIMBO TENA WAFANYAJE:
tunajua kama cha bado wanakubalika Arusha
Wajiulize swali Je mgombea wao bado anakubalika kwa kiasi gani (maana ccm walikwishamchafua vya kutosha)
Wasiangalie ushabiki wa kisiasa tu bali wafanye utafiti wa kina ni jinsi gani watu haswa wazee na akinamama wanamkubali mgombea atakayesimamiswa kunywe marudii ya uchaguzi,
hii ikizingatiwa wanaweza kubadili mgombea na kwakuwa chama kama cham kinakubali basi wanaweza kwa kuwashawishi wapigakura wazee na wakinamama wanaweza kumsimamisha mtu mwenye makamo kidogo ili walau kubalance mambo na kujizolea makura kutoka kada zote.
wawe makini sana wakati wa kampeni haswa kwenye kauli na sera.



LEMA AWE TAYARIU KWA LOLOTE KATIKA KUKIJENGA CHAMA
Mh. Lema anapaswa akubaliane na uamuzi wa chama hii ikiwa ni katika kuhakikisha kunakuwa na umoja na mshikamano kutokana na maamuzi ya chama yatakayokuwa yameongozwa na utafiti wenye utashi. maana mgawanyiko maanake ni maanguko na aibu.
Chama kisikurupuke katika kufanya maamuzi ya kumteua mgombea wa ubunge kwa kuangalia ushabiki na ufuasi wa Lema,

HAYA NI WAZAZO YANGU TU NMAWEZA KUCHUA LILILO JEMA NA KAAMA NIMEONGEA UPUU KWANZA MNISAMEHE NA KULIACHA LILILO LA KIPUUZI.


NIMETOA MAONI YANGU KAMA MWANACHAMA WA CHADEMA MWENYE KADI NAMBA CDM 0487097 NA MPIGA KURA WA ARUSHA
 
Napenda kuwaeleza kwamba, haya yote yanayomkuta Lema ni kutokana na nyie kutumiwa na mafisadi kuweza kukandamiza haki ya mnyonge.
Tazameni sasa damu yetu wana Arusha inaenda kumwagika wakati wote wa kampeni mpaka uchaguzi ujao hapo Arusha.
Mmekubali kutumika ili kuweza kumkomoa lema lakini kumbukeni kwamba nguvu ya umma kamwe haiwezi kuzimwa na nyie. Kitu gani kiliwawasha mpaka mkafanya hivyo?
Anyway mumjgu yupo one day atakuja kudhihirisha ukweli juu ya jambo hili.

Sdhani kama damu inaweza kumwagika kisa Lema amevuliwa Ubunge. Mambo yatakwenda shwari tu na mbunge mwingine atapatikana.
 
Hawa ni mashujaa na wanastahili hadhi ya kitaifa,
Lema ni mbaguzi/mdini na anachochea ukanda na ukabila, LEMA amesababisha watu waichukie Chadema Hafai wala hafai hata kidogo.
Hongera Majaji na mahakimu kwa kutenda haki.
Hongera mliomfungulia mashtaka, Mungu awalipe.
Ameeeeeeeeeeeen

Pole sana.
What if anakata rufaa na kushinda? Mlalamikaji ni third party, na si Mhe Buriani ambaye ni mwathirika wa kero ya Lema. Achilia mbali marudio ya uchaguzi ambao sisiem haiwezi kushinda
 
WALIOMUUA LEMA HAWA HAPA!

wakazi watatu wa Jimbo la Arusha Mjini na wanachama wa CCM Kulia ni Mussa Mkanga,Agnes Mollel na Happy Kivuyo waliofungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo hilo kwa Mbunge wa Chadema Godbles Lema,wakiwa katika chumba cha Mkahakama Kuu Kanda ya Arusha leo wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa.




View attachment 51051[/QUOTE
kwa hiyo roho zao zimeridhika.

sana tu.
 
eti watu wanaichukia chadema! nani kakuambia hizo habari!Hilo jimbo ni la chadema litabaki kuwa la
chadema!
 
WALIOMUUA LEMA HAWA HAPA!

wakazi watatu wa Jimbo la Arusha Mjini na wanachama wa CCM Kulia ni Mussa Mkanga,Agnes Mollel na Happy Kivuyo waliofungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo hilo kwa Mbunge wa Chadema Godbles Lema,wakiwa katika chumba cha Mkahakama Kuu Kanda ya Arusha leo wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa.




View attachment 51051


Hongereni sana....mmeishinda nguvu yao ya umma, mmemshinda mungu wao wanayesema yupo juu!!!
 
Ona walivyokaa ni wanafiki tu hawa,
njaa zao zitaumiza watz kwa ajili ya kurudia uchanguzi,
tuone mwisho wao nao utakuwaje.
 
Back
Top Bottom