Mtangazaji na CEO wa "Zamaradi Tv" mwanadada Zamaradi Mketema, amemjibu shabiki aliemwambia kuwa ana roho mbaya.
Sekeseke lilianza baada ya Zamaradi kupost picha yake kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuandika "Mmanyema mmoja hivi!!"
Moja ya shabiki wake akajitokeza na ku-reply kwenye hiyo post "mwenye roho mbaya yake". Mwanadada Zamaradi akashindwa kujizuia na kumjibu "Hatari kabisa tena mbaya kweli kweli".
Hii sio mara ya kwanza watu kumshutumu Zamaradi kuwa ana roho mbaya maana hata aliekuwa rafiki wake wa karibu Faiza Ally alishawahi kumshutumu kwenye hilo.
Nini maoni yako?
Imeandikwa na Mjanja M1 ✍️
Sekeseke lilianza baada ya Zamaradi kupost picha yake kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuandika "Mmanyema mmoja hivi!!"
Moja ya shabiki wake akajitokeza na ku-reply kwenye hiyo post "mwenye roho mbaya yake". Mwanadada Zamaradi akashindwa kujizuia na kumjibu "Hatari kabisa tena mbaya kweli kweli".
Hii sio mara ya kwanza watu kumshutumu Zamaradi kuwa ana roho mbaya maana hata aliekuwa rafiki wake wa karibu Faiza Ally alishawahi kumshutumu kwenye hilo.
Nini maoni yako?
Imeandikwa na Mjanja M1 ✍️