nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,904
Acha tu, siku nikikuona nae dearest tutapigana,na unajua nitashinda....kaa na huyu mtu mbali.
Natamani niione hiyo siku nione jinsi mtakavyotoana manundu halafu niiripoti gazetini
Acha tu, siku nikikuona nae dearest tutapigana,na unajua nitashinda....kaa na huyu mtu mbali.
Acha tu, siku nikikuona nae dearest tutapigana,na unajua nitashinda....kaa na huyu mtu mbali.
karibu kwenye jukwaa la umbeya,hapa ni full kusutwa!
we nae,usiwe unakata tamaa hivo,kha!
Acha tu, siku nikikuona nae dearest tutapigana,na unajua nitashinda....kaa na huyu mtu mbali.
yaani kweli kabisa Michelle hutaki tajiri Bishanga awe mwili mmoja na mrembo Lizzy?nimekosa nini dear? Kama ni ukiwembe kwa ajili yake nitaacha!
Una maneno sana, huwezi hata kaa na kitu rohoni,kunikuta kule ukaja kusema huku....mimi nilikusema kwa kuwa mimi ni kazi,wewe ukaja tu uakakurupuka kunitangaza tena ukataja na jina la mume wangu...umeniudhi sana....sasa, Lizzy humpati....ukiwembe acha kwa manufaa yako.yaani kweli kabisa Michelle hutaki tajiri Bishanga awe mwili mmoja na mrembo Lizzy?nimekosa nini dear? Kama ni ukiwembe kwa ajili yake nitaacha!
Bora ushalijua hilo,moyo wangu ukiwa sehemu naweza fanya lolote lile....Bishanga kanigusa pabaya sana aisee....!Tatizo la Michelle ana wivu sana atakuletea vurumai mkuu angalia halafu na wewe uache tabia ya ukic...che
sasa huyo mmeo mbona kauchuna? Mwabie arushe poem ya kushukuru,afteralll sisi ndo tulikushusha munkari.
yaani kweli kabisa Michelle hutaki tajiri Bishanga awe mwili mmoja na mrembo Lizzy?nimekosa nini dear? Kama ni ukiwembe kwa ajili yake nitaacha!
Imefahamika;
aliyepiga mbizi kigamboni alikuwa The boss.
kabla ya kupiga mbizi nguo alimwachia mwanadada aliyefahamika kwa jina la smile avuke nazo wakutane ng'ambo ya pili. chanzo chetu kinaendelea kutunyetisha kwamba smile alichelewesha nguo hadi mgambo wakamkuta uchi wa mnyama. Mia
mbona intelegensia niliyonayo inasema ni mimba ya Rejao?
Awali ya yote naomba nikiri mbele ya hazala hii kuwa uzi wa 'jf udaku' kwangu ulikuwa ndo sredi of ze year 2011.
Kudos kwa aliyeshusha uzi huo (jina la mdau husika memory un reachable).
Ndugu zangu naomba tuli fresh our memories kwa uzi ule na tuuenzi kwa kupiga remix yake (tuchanganye ala za uzi ule na mpya).Bishanga naanza na headlines hizi za gazeti letu pendwa,edition ya kesho:
1.feisbuku afumwa gesti akiwa na mme wa mtu,katika purukushani adondosha avatar yake.
2.Yabainika: aliyewachonganisha Hashycool na Michelle kumbe ni The Boss,Michelle amuumbua mbele ya Hashy(full news pg 4)
3.malaria sugu na OTIS warudisha kadi za CCM,wajiunga na DP chama cha Mtikila,Freeman naye mbioni kuwa join.
4.Dena na Lizzy waonekana pamoja katika tete-a-tete katika kitchen party ya Husninyo,harusi yake na Rejao jumamosi ukumbi wa igongwe bar.
5.Kongosho kumbe ni mwanaume!
6.yametimia! TF kufunga ndoa na AD.
7.Bishanga afumaniwa na mke wa mtu,mgoni wake aonekana akinoa jambia eneo la tukio!
8.Ashadii atoa tamko,'kuanzia leo siingii tena jf' ,kisa kamili uk wa 8
9.Babu DC aonekana maeneo ya Ikulu akifuatilia malalamiko ya wastaafu wa iliyokuwa EAC.
10.Nyaningabu azipiga kavukavu na figganiga,kisa kugombea kakuku ka kienyeji maeneo ya temeke sokota!mia
@ All rights reserved by Tanmo,any copyright infringement will be reported to Ashadii.