jf udaku:remix

jf udaku:remix

Naona TF yuko msibani sana
leo alikuwa anaripoti LIVE kutoka Ifakara
inaonekama alikuwa na ukaribu
so kupoa ni likely

Husn ,just out of curiousity,hivi TF siku mbili tatu hizi mbona kapoa sana? Kunani?au kamtia mimba mtu jf anataka aingie mitini?
 
Bw. Mtambuzi apata kibano kutoka kwa dadapoa ni baada ya kutoa siri. siri gani soma ukurasa wa nne.
 
Maxence atangaza kuiuza jf .. ritz aomba kuinunua kwa tsh billion 3 dau na kuahidi kuwapa ban wapenda cmd wote...

Afrodenzi ashinda taji la miss word... Duduwasha amepania kumuoa amuondoe upweke..

zitto ahamia cuf...

Faiza Foxy ameokoka na anaimba kwaya kanisa la st. peters , asema kitimoto sasa kwake ni hadharani na si kwa kujificha tena..

Nyani Ngabu ajiunga na kundi la ze comedy original.

AshaDii alilia Penzi la invisble!
 
Maxence atangaza kuiuza jf .. ritz aomba kuinunua kwa tsh billion 3 dau na kuahidi kuwapa ban wapenda cmd wote...

Afrodenzi ashinda taji la miss word... Duduwasha amepania kumuoa amuondoe upweke..

zitto ahamia cuf...

Faiza Foxy ameokoka na anaimba kwaya kanisa la st. peters , asema kitimoto sasa kwake ni hadharani na si kwa kujificha tena..

Nyani Ngabu ajiunga na kundi la ze comedy original.

AshaDii alilia Penzi la invisble!
unanchekesha,hivi siku zote hujui kwamba:
1.mtandao wa jf uko sokoni?
2.AD na Merytina wako close katika mambo flan?
3.Zitto ni cuf longtime meeeeeeeen!
4.Invisible is heavily married,Asha anajigonga tu,namshangaa!
5.Nyagingabu has always been a member wa ze comedy,jina lake halisi 'mpoki.'.
FF kaokoka? Mmmhhh ngoja niendelee kufuatilia taarifa za kiintelijensia.
 
Tanmo akamatwa na picha ya jk na Dr Sla wakisalimiana.. Atozwa fine mia tano au kwenda jela miaka miwili
 
Jamani hii thread inapepea kama bendera aliyopandisha Nyirenda Mlima Kilimanjaro???
 
Mwanamama selebu namba 2 wa JF Binti Foxy Faiza amezua gumzo kufuatia kila anapokwenda kuwa na ‘kufuli’ kwenye mkoba ambalo mwenyewe anadai ana matumizi nalo.
Chanzo chetu ambacho ni rafiki wa mwanama shosti huyo kilichojitambulisha kwa jina moja Rejao kilitonya kuwa, FF amekuwa na tabia ya kutembea na nguo hiyo ya ndani na wakati mwingine kuitumia kujifutia jasho.

“Nilishawahi kuishudia ile nguo ya ndani, ina rangi ya maziwa hivi. Siku moja tulikuwa maeneo flani tunapiga stori, mara akaitoa na kujifutia jasho,” alisema Rejao
Akasema mbali na kuitumia kwa matumizi hayo, siku moja alipomtembelea nyumbani kwake alishangaa kuitumia nguo ileile kujifutia uso, hivyo kumfanya amfikirie tofauti.
Katika kuweka mambo sawa alitafutwa FF na mahojiano yalikuwa hivi:
Mimi: Unadaiwa kutembea na kufuli lako kwenye mkoba na watu wanalihusisha na mambo ya kishirikina, wewe unalizungumziaje hilo?
FF: Hee! Hayo ni maamuzi yangu bwana, kwani kuna tatizo gani?
MImi: Lakini kwa nini utumie kufuli kujifutia jasho, kwani umeshindwa kununa kitambaa? Huoni kwamba unawafanya watu wakufikirie tofauti?
FF: Wanifikie vyovyote, hayo ni maamuzi yangu.
 
Mwanamama selebu namba 2 wa JF Binti Foxy Faiza amezua gumzo kufuatia kila anapokwenda kuwa na ‘kufuli’ kwenye mkoba ambalo mwenyewe anadai ana matumizi nalo.
Chanzo chetu ambacho ni rafiki wa mwanama shosti huyo kilichojitambulisha kwa jina moja Rejao kilitonya kuwa, FF amekuwa na tabia ya kutembea na nguo hiyo ya ndani na wakati mwingine kuitumia kujifutia jasho.

“Nilishawahi kuishudia ile nguo ya ndani, ina rangi ya maziwa hivi. Siku moja tulikuwa maeneo flani tunapiga stori, mara akaitoa na kujifutia jasho,” alisema Rejao
Akasema mbali na kuitumia kwa matumizi hayo, siku moja alipomtembelea nyumbani kwake alishangaa kuitumia nguo ileile kujifutia uso, hivyo kumfanya amfikirie tofauti.
Katika kuweka mambo sawa alitafutwa FF na mahojiano yalikuwa hivi:
Mimi: Unadaiwa kutembea na kufuli lako kwenye mkoba na watu wanalihusisha na mambo ya kishirikina, wewe unalizungumziaje hilo?
FF: Hee! Hayo ni maamuzi yangu bwana, kwani kuna tatizo gani?
MImi: Lakini kwa nini utumie kufuli kujifutia jasho, kwani umeshindwa kununa kitambaa? Huoni kwamba unawafanya watu wakufikirie tofauti?
FF: Wanifikie vyovyote, hayo ni maamuzi yangu.
mmmmmmmhhhh Yoyo wewe Yoyo kweli,hivi FF atakuponyesha kweli leo!
Btw alokwambia hii thread uichoropoe kabatini nani?
 
Back
Top Bottom