Cantalisia Atembea na Baba Yake, Mzee Mtambuzi
Na Mwandishi Wetu:
Wawili hawa walionekana siku ya jumapili mwezi wa kwanza, ambapo binti mrembo Cantalisia alionekana mitaa ya Tabata akiongozana na Baba yake Mtambuzi kuelekea kanisani. Familia hiyo ilifuatiwa kwa mbali na majirani zao wawili ambao ni wahudumu wa kanisa ambao kwa macho ya haraka haraka ya mwandishi walionekana kuwa wakihofia kuchelewa ibada hiyo kwani tayari zilikwisha pita dakika tano tangu muda uliopangwa kwa ibada kuanza.
husn kikojooozi
na nguo kaztia maji......
Wakumbuka weye kamwimbo hako????
Kumbe humu kutamu hivi
huyooooo huyooooo!
get somebody to pour water over me,quickly,nafaaaaaa!!!!!!
monita wangu darasani si unajua ni TF?
Husn ,just out of curiousity,hivi TF siku mbili tatu hizi mbona kapoa sana? Kunani?au kamtia mimba mtu jf anataka aingie mitini?
hehehehe! Mi nipo namuwakilisha. Una ujumbe wake nimpe ausome?
mwambie TF aje kwenye uzi huu,asome post zote za AD,kisha aseme lolote kama atakuwa nalo,maana mmmmmhhhh nimechoka kabisa,mambo mengine jf utadhania masikhara kumbe watoto wa mjini wanafanya kweli!