Thanx, subiria ya kufungia mwaka, ntaiweka 2nit hio nadhan utairate 10 stars. Ha ha haaaaaaa.....yaani ingekuwa chit chat ningeweza amini ila ni jokes...lakini da angel we ni noma aisee
This post rated five stars.
Sijui Mwita akisoma hii atajisikiaje!
Mkali ni mimi. saa yangu inasema leo ni tarehe 28/12/2011. siirekebishi wala sitasherehekea mwaka mpya hadi itakapo soma 01/01/2012. Mia
If otndoesn't respond click here...wait........for responding!!
kama anaona ccm inaongoza vizuri tu na hana shida na rais wake handsamu, naona atajiskia amepaishwa!
mtanzania anaedhani ccm bado inaongoza nchi vizuri hawezi kuwa sawasawa upstairs wala down in the basement!
Hahahahaa ila we utakuwa Kilaza......natania wewe sio km mwitaMkali ni mimi. saa yangu inasema leo ni tarehe 28/12/2011. siirekebishi wala sitasherehekea mwaka mpya hadi itakapo soma 01/01/2012. Mia
Jamani........., me nasoma tu hata sichangii hiikama anaona ccm inaongoza vizuri tu na hana shida na rais wake handsamu, naona atajiskia amepaishwa!
mtanzania anaedhani ccm bado inaongoza nchi vizuri hawezi kuwa sawasawa upstairs wala down in the basement!