JF party kesho, mambo iko kule. Usingoje kuhathiisiwa

JF party kesho, mambo iko kule. Usingoje kuhathiisiwa

Mie nachoulizaa,wali utakuwepo?,maana mie chips siwezi kushiba asee.
 
Yaani tangu jana nimeuliza mara tatu hiyo Escape 1 Pub iko wapi ili nitume mchango lakini mpaka sasa hakuna aliyenielekeza, sasa sijui hiyo party ni kwa ajili ya wateule fulani tu au ni wanaJF wote? Anyway nawatakia kila la heri remember to play safe in all angles bado tunawahitaji kujenga taifa letu.
 
Yaani tangu jana nimeuliza mara tatu hiyo Escape 1 Pub iko wapi ili nitume mchango lakini mpaka sasa hakuna aliyenielekeza, sasa sijui hiyo party ni kwa ajili ya wateule fulani tu au ni wanaJF wote? Anyway nawatakia kila la heri remember to play safe in all angles bado tunawahitaji kujenga taifa letu.

jamani mbona kuna ramani ya daireksheni pale amahujaona!!!!!!!!!hii ni kwa ajili ya watu
woooooooote na wala si kwa ajili ya kina fulani
 
jamani mbona kuna ramani ya daireksheni pale amahujaona!!!!!!!!!hii ni kwa ajili ya watu
woooooooote na wala si kwa ajili ya kina fulani

Asante sana Heaven on Earth, ila nimeshachelewa sasa, anyway labda nisingeenjoy ndo maana ikawa hivi. Unajua tena sisi sio akina dotcom tena tunaweza kufika tukaishia kushangaashangaa tu na kuboreka. But nilitamani sana kuwepo na ningejichanganya ipasavyo. Ngoja niendelee na majukumu ya kiofisi kila la heri wakuu.
 
Kumbe na sisi wazee wa one pack tunapendwa eehh? Leo nitakuja nimevaa t-shirt nyeusi imeandikwa kifuani "COMING SOON...SIX PACKS"
 
Back
Top Bottom