JF party kesho, mambo iko kule. Usingoje kuhathiisiwa

JF party kesho, mambo iko kule. Usingoje kuhathiisiwa

Jamani rafiki zangu wapendwa.....nawatakia party njema iliyojaa amani na utulivu.
Mungu awatangulize.
Mtambuzi na lara 1...... big up's.

lara 1....kuwa makini ili mambo kama ya mwaka jana yasitokee....baadhi walikuja na camera kwa nia njema tu, lakini wengine walikuja nazo...wakapiga Picha then wakawa wanatumiana kinyemela.....'huyu flani....au huyu flani'.
Haikupendeza maana sie wengine ni "Most Wanted" mpaka uvunguni.
Ila yote kwa yote.....""""PARTY NJEMAAAAAAAA""""
Enjoyini babu weeeeeeee........maana maisha yenyewe mafupi kama umri wa funza.
Jiparty njema.

jamaniiiii madam kwanini wewe hujii
 
Last edited by a moderator:
Namasteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mambo ymekwivaaaaaaaaaaaa! Kesho ndo kesho! Asemae kesho kuwa ni MUONGO!!!!!!!!!!!!!!! Saa 11:00 Juu ya Alama kitu kinaanza!

Watu wenye P.O.BOX zetu MMU (Nilipokopa hi 30k, acheni tu! Ila heri DENI kuliko FEDHEHA! Just imagine makelele yote humu MMU Kubwa la maaui nionekane BROKE A.ss si mambo ya aibu na fedheha kuu! Kujikosha kosha nasafiri, niko busy, kumbe 30k sina????? Ningeificha wapi sura yangu? Ulienikopesha UMENISITIRIJE!!!!!!! Mwaaaaaaah!) , Watu na maconfidence yetu, tuko standby!

Watu 8, Sukari ya warembo kesho patachimbikaje? Six Pack zitazua kizaa zaa!!!!!!!! Sitaki kuhadisiwa mie! Mwaka jana ilioa jicho kama mjusi kabanwa na mlango kuchungulia six pack! Na busara zako huku jamvini patakuwaje hapatoshi! Kama nakuona Jpili ukiamka PM zimejaa aje! Mmmmmmmmmmh! Mie nitakula kwa macho tu!


Maandalizi binafsi nmeona nije simple simple tu, sitaki makuu na kujionesha mtoto wa watu! (Kumbe uwezo unagomba! Sina hata kumi ya gauni hapa nilipo! LOLEST! Sizitaki mbichi hizi!)

Haters wangu wote wa JF kiwemo miss neddy kumbe mpo BROKE kiasi hicho! Im so disappointed about you! Kuniitaga maskini kubwa! Mshamba! Mashauzi ya bure! Kumbe nyie ndo uwiiiiiii!!!!!!!! Loooooh! 30K inawashinda? NO WONDER YOU ARE SO BITTER!!!!!!!!

Ndo tuna finalise maandalizi hapa! Mkae mkao wa kuparty na watoto wa mujini!!!!!!!!!! KESHO NDO KESHO! Wanaume wa JF I feel really disapoined, mikwara mingiii ku text namlipia Lara 1, asimlipie mtu, nitamwaga damu (Unajijua ulie text hii) kumbe mneno matupu hayavunji mfupa! Loooooooh! Vichuna wote hawa, sijaona hata mkijitoa kivile kulipa watu! Jmavi hili LATAKA MOYO! Loooooh!

Wale miloomba Pooh! mambo hayajakaa fresh mfikiriwe kidogo mda, haya malizieni kutuma 0715729292 TIGO PESA NA MPESA NI 0752729292 KAUCHAKAVU NI KALE KALE 30,000/ 30K TSH. Ukieka na ya kutolea ni uungwana zaidi!

RATIBA
JF PARTY
ESCAPE 1 PUB
25.01.2014

17:00 – 17:30 Kuwasili ukumbini
17:30 – 18:15 Kukaribisha wageni, vinywaji
18:15 – 18:30 Ufunguzi rasmi na kufungua champagne na cheers
18:30 – 19:00 Utambulisho wa mgeni rasmi
19:00 – 19:20 Mageni rasmi kusema chochote
19:20 – 20:30 Chakula na vinywaji
20:30 – 21:30 Chit Chat
21:30 – 21:45 Maneno kutoka kwa waandaaji
21:45 – 06: 00 Dancing, Drinking, Chitchatting, etc

269624_524419780926657_314362659_n.jpg


1497700_619133411455293_105132098_n.jpg



21148_523430101025625_23621355_n.jpg


47979_552711848097450_1644893273_n.jpg
Come on, gonna miss this.
 
lara1 itabidi unisafishie jina langu nishatuma mchango japo kwa kuchelewa

mbele ya HADHIRA itabidi unipambe hapa kunipunguzia machungu maana leo umesababisha pm kujae midume
tangu imejua sijalipa inajipendekezaje ohooooo miss nikulipie ohoooo sijui tutakuwa benet ohooooo sijui hiv
khaaaaaaaaa ukiwaambia basi lipa utume jina la kadi et wanadai nijiandae tu kila kitu kitakuwa tayari mchana
nikaona wasije wakaniingiza kingi nikose uhondo bureeeeeee

dah.kama utakuwepo itakuwa poa sana, na ulivyo bomba! utawafunika wote...! hamna cha........wala.........!lol
 
Kipenzi miss neddy, ningependa sana kuja Sema kuna harusi naisimamia mpenzi.
Lakini usijali tutakutana tu.
Party njema.

habari mbaya sana ila ule ushauri wa watu kuanza kupiga pic halafu kuanza kudiscuss ni mzuri sana

hao ni vishoka na inabidi kuwa nao makin

Harusi njema shoga angu
 
habari mbaya sana ila ule ushauri wa watu kuanza kupiga pic halafu kuanza kudiscuss ni mzuri sana

hao ni vishoka na inabidi kuwa nao makin

Harusi njema shoga angu

dah.sisi wengine tuko mbali ina maana hamtatuwekea picha huku ya party?mtakuwa hamtutendei haki
 
habari mbaya sana ila ule ushauri wa watu kuanza kupiga pic halafu kuanza kudiscuss ni mzuri sana

hao ni vishoka na inabidi kuwa nao makin

Harusi njema shoga angu

Asante shoga angu.
Nilitamani niwepo.
Ni kweli maana baadhi si wastaarabu.
Raha mkutane palepale na yaishie palepale hayo ya kuanza kuitana chemba wala hayapendezi.
Poa shostito.
 
Yaani tangu jana nimeuliza mara tatu hiyo Escape 1 Pub iko wapi ili nitume mchango lakini mpaka sasa hakuna aliyenielekeza, sasa sijui hiyo party ni kwa ajili ya wateule fulani tu au ni wanaJF wote? Anyway nawatakia kila la heri remember to play safe in all angles bado tunawahitaji kujenga taifa letu.
 
Back
Top Bottom