Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,760
Ukuje bi mkubwa watu wa JF wapo charming sana...
Nikiandika idadi ya watu ninaofahamiana hapa personally nadhani utabakia kinywa wazi...
Mmmmh!!!
Uandishi wangu wafanana na nani tena bi mkubwa?
Ukuje fukweni basi upate kunikodolea macho (u won't regret kama huamini muulize lara 1) :becky:
hapo lazima real names zihusike hamna ujanja...anyway kwa wababes natoa real name sio issue...
Hahahaaaa! M babes banaaa, uitikio wao unaridhisha sijui niseme unaridhishwa maana kwa kulipiwa hawajambo hao! Hahaaaaaa! (Menyewe nimelipwa mie yakheeeeeee!) Yah! But kusema kweli wananishangaza jinsi walivoitoa kusupport hii kitu!
Kuna MBABE wa mwana she actually has bought a ticket already, kalipa kila tu! Kuna MBABE wa A -Town nae keshalipa na anadondoka! Sasa hadi MABABES wa mkoani wanadondoka THIS NO SMALL THING OOOOOOOOOOOOOH! HEEEEEEEEEEEY!!!!!!! Na BIG GIRLS TINS!!!!!!!!! (Watafikia oteli gani MNITUE KABISAAAA)
Yah kusema kweli muitikio unaridhisha sanaaa! TOTOS zina P.O.BOX!!!!!!!!!!!! Zina maka FLIPORA!!!!!! Chezeya kutketeza kitita kwa party ya JF! Wapi Mamaaaaaaa..........pande za Mwanza????????
Pia nawaencourage wanaume muwalipie MABABES wengi zaidi ili twende sawa ukumbini! Its not like ukimlipia ndo u own her au aje. But its time to show YOUR GENTLENESS!!!!!!!!! "BWANA KUBWA LA MADUI NIMEKULIPIA NO STRINGS ATTATCHED NATAKA TUBADILISHANE MAWAZO MAWILI AU MATATU TU KWA PARTY" Aaaaaaaaw!!!!!!!!! He is so damn sweet! He mightbe the kind of my man! (MLIO OA HILI HAIWAHUSU!)
Wengine Dar ni wageni,tunaomba tuelekezwe hiyo Escape iko wapi,unapitia na kutokea wapi na kupindia wapi.Tafadhari.
Ukiwa unatokea mwenge fuata njia ya Coca-Cola hadi ukutane na barabara iendayo kawe pale mlalakuwa chukua uelekeo wa kwenda JKT kabla ya daraja la mlalakua upande wa kulia kuna kibao kimeandikwa Escape 1 ndo humo shughuli itafanyika.Wengine Dar ni wageni,tunaomba tuelekezwe hiyo Escape iko wapi,unapitia na kutokea wapi na kupindia wapi.Tafadhari.
Mmmmh!!!
Uandishi wangu wafanana na nani tena bi mkubwa?
Ukuje fukweni basi upate kunikodolea macho (u won't regret kama huamini muulize lara 1) :becky:
hivi kuna dress code??nisije nikavaa kanzu nikawA out of place
basi watu8 itabidi uwe mwenyeji wangu siku hiyo maaaana mimi huwa nina aibu mnooooo mbele ya hadhira
kweli tna yn,myb ni hisia zangu tu,but naona u write similarly to the chats i have na uyo mtu...
No majutoo ufukweni najaa
Wengine Dar ni wageni,tunaomba tuelekezwe hiyo Escape iko wapi,unapitia na kutokea wapi na kupindia wapi.Tafadhari.
Wengine Dar ni wageni,tunaomba tuelekezwe hiyo Escape iko wapi,unapitia na kutokea wapi na kupindia wapi.Tafadhari.
Escape ni kama Unaelekea Kawe, Iko Kushoto kama unatokea Morroco Karibia na kona ya kutokea Mwenge. Iko barabarani kabisaaa!
Tyta please buddy do ze nidful
Mmmmh!!!
Uandishi wangu wafanana na nani tena bi mkubwa?
Ukuje fukweni basi upate kunikodolea macho (u won't regret kama huamini muulize lara 1) :becky:
charminglady wewe tupia tu kivazi cha ufukweni itakuwa pouwa tu, si ushaambiwa ni mambo ya ufukweli Kawe Beach, hata ukivaa kama vile unakwenda kwenye ngoma ya msuto wa Mkodobwe itakuwa pouwa tu, miye mwenyewe nitatupia zangu DERA langu la Hudhurungi utanitakaaaaaaMkuu lara 1 tafadhali tunaomba angalizo katika dressing code, make last year ilikuwa WHITE PARTY dressing code ikawa WHITE. Vipi this year???