Jamani hii kitu wangetagaziwa hata wa jukwaa la siasa,maana watu wana stress sana na uteuzi wa baraza.Ungekuwa ni muda muafaka wa kuondoa mastress.
Dress code nafikiria mwaka huu iwe Casual wear! Theme Keep it short! Manake kule beach charanga namna gani. Colours no limitation.
KakaKiiza wengine tunatembelea mikono, min sketi ni noumer!!!!!!!Min skate for woman For Man Jeans with T-shat or Casual dress.
hahaa kama kawaida my dear.........kwa raha zangu raha kujipa mwenyewe ati
Hivyo hivyo njoo tu:disapointed:
Kweli njoo!!Mmmmmmmhhhhh......
Hahaha!!!
Yakhe miye ntaja mevaa msuli vifaa vyangu vipate pumua uzuri...
haha! Wacha tupige vimini tupate upepo wa bahari loh!
Kweli njoo!!