KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,905
- 9,335
omba jingine na kukurudisha si ni mimi? au??Kiiza unipitie ili nisikose. Unajishebedua mapati yote umekula peke yako. Nakuangalia tu.
omba jingine na kukurudisha si ni mimi? au??Kiiza unipitie ili nisikose. Unajishebedua mapati yote umekula peke yako. Nakuangalia tu.
Kiiza unipitie ili nisikose. Unajishebedua mapati yote umekula peke yako. Nakuangalia tu.
Kweli njoo!!
hayo ndio maneno na sisi angalau tupige kiwi ya macho
hahaa kama kawaida my dear.........kwa raha zangu raha kujipa mwenyewe ati
Bi Mkubwa umeadimika kama jasho la kuku....Jmosi tuonane
omba jingine na kukurudisha si ni mimi? au??
Kunauwezekano wa kutoka mrithi!!tehe tehe tehe, wewe huyo huyo!!!
Jirani waendeleaje?
naendelea vyema jirani
Unajua umeniwahi, Heri ya mwaka mpya. Naomba kama una namba yangu unitext nipate yako. Nitakutafuta i see. Ka simu kangu walikachapa hapa nimeanza kukusanya namba upya.
Nakuombea kwa Mungu muweza wa yote
haha! Wacha tupige vimini tupate upepo wa bahari loh!
Umeamua kuja na ID yako ya zamani baada ya kutumia mpya sasa unaona kwenye maswala unayofahamika unatumia hii ID???Saa huyo Tuko sh,30,000/ inaweza kukusababisha usisomeshe watoto??Halafu we Madame B unajuaje kama mimi nimeenda jando la ukubwa??wakati ujawahi kuwa nesi wangu wakati nakuja kufanya dressing??(Mabwaku)Halafu mko wengi mna ID mpya kwa hii JF Party ndo mmeibuka ukiuliza eti ubusy ndo unawafanya msiwepo kwenye jukwaa kumbe mnashinda humu na ngozi ya kondoo!!:becky:
si ndo hapo! Watuache miaka 100!!