du yaaani nimepata motivation ya ajabu kuhudhuria hiii party although sina kampan lakini ntakuja tu kila kitu kitajulikana huko huko ndani ya escape kubwa la maaadui me mpaka jumatatu ntakuwa nishatengeneza p. o.box yangu
Mkuu ulikuwa hujui hapa ni kanzu lakini mashehe ndo walewale!!
Escape ni kama Unaelekea Kawe, Iko Kushoto kama unatokea Morroco Karibia na kona ya kutokea Mwenge. Iko barabarani kabisaaa!
yaani badala ya kumwambia mjukuu wako kuwa anaharibu mipango iliyowekwa tayari
wewe unamsifia tena kwa kumpa seat kwa bibi yake?
mm nilidhani utamwambia kuwa wazo lake limeshaharibika kwani tushafika kileleni
kunako game wewe ndo unampa masifa ya kichwa kivimbe
Umeamua kuja na ID yako ya zamani baada ya kutumia mpya sasa unaona kwenye maswala unayofahamika unatumia hii ID???Saa huyo Tuko sh,30,000/ inaweza kukusababisha usisomeshe watoto??Halafu we Madame B unajuaje kama mimi nimeenda jando la ukubwa??wakati ujawahi kuwa nesi wangu wakati nakuja kufanya dressing??(Mabwaku)Halafu mko wengi mna ID mpya kwa hii JF Party ndo mmeibuka ukiuliza eti ubusy ndo unawafanya msiwepo kwenye jukwaa kumbe mnashinda humu na ngozi ya kondoo!!:becky:
Ukuje bi mkubwa watu wa JF wapo charming sana...
Nikiandika idadi ya watu ninaofahamiana hapa personally nadhani utabakia kinywa wazi...
Sawa babu... Tuwache wajukuu zako tupumuweeee!!!!!
Umeamua kuja na ID yako ya zamani baada ya kutumia mpya sasa unaona kwenye maswala unayofahamika unatumia hii ID???Saa huyo Tuko sh,30,000/ inaweza kukusababisha usisomeshe watoto??Halafu we Madame B unajuaje kama mimi nimeenda jando la ukubwa??wakati ujawahi kuwa nesi wangu wakati nakuja kufanya dressing??(Mabwaku)Halafu mko wengi mna ID mpya kwa hii JF Party ndo mmeibuka ukiuliza eti ubusy ndo unawafanya msiwepo kwenye jukwaa kumbe mnashinda humu na ngozi ya kondoo!!:becky:
Party inaanza saa ngapi na nikituma pesa kwa mobile how my ticket is going to be confirmed?
Usingoje Escape 1 hata ukisema Dady nataka nikuone kesho i am full available to whom who need my advise!hahahaaa dady umenichekesha sana LOL......hiyo siku nataka kumuona dady wangu live live ndani ya
ESCAPE.......
Mwambie hakuna shida ya Ticket kupotea kuanzia mwaka juzi,jana unapewa code no mlangoni ndo unakuja nayo siku hiyo!!Party inaanza saa 11 sharp! Ukipa, wasiliana nae kuwa unalipa then mtawasiliana juu ya what next! Namba hizo hapo juu!
hahaa kama kawaida my dear.........kwa raha zangu raha kujipa mwenyewe ati
Una akili sana mjukuu wangu....
Ndiyo maana una seat ya pekee nyumbani kwa bibi!
Babu DC!!