JF imenipatia binti.

JF imenipatia binti.

huogopi???

Hata siogopi kwakuwa kuna mtu kaniambia there is nothing to fear than fear itself.
Halafu na mimi wacha nibandike tangazo nipate hata wawili watatu kama wao wameweza wana nini mpaka mimi nishindwe
 
Habari wanaJF,
Mda umepita tangu nijitojeze kutafuta rafiki wa kike kupitia hii forum. Bahati nzuri kwangu, naamini nimempata ambaye Mungu aliniandalia. Tumeanza taratibu sana na urafiki wetu unaendelea vizuri sana.

Naamini sana urafiki wetu utaishia kwenye ndoa takatifu. Wale wanaosema hapa hamna, jaribuni tena, ombeni na Mungu atawapa kwa kadri ya mapenzi yake. Asanteni kwa mlionitakia heri.

Hongera sana,Kila la Heri!!!
 
hongera kumbe inawezekana mimi bado natafuta mume
 
hongera kumbe inawezekana mimi bado natafuta mume

Kwa hiyo hakuna u bf na gf, haluna uchumba ni mwendo wa ndoa tu.... Weka tangazo pia utapata applications za kutosha kuanzia watoto wa miaka 15 mpaka vibabu vya 70s.
Kazi ni kwako kama vodacom
 
Habari wanaJF,
Mda umepita tangu nijitojeze kutafuta rafiki wa kike kupitia hii forum. Bahati nzuri kwangu, naamini nimempata ambaye Mungu aliniandalia. Tumeanza taratibu sana na urafiki wetu unaendelea vizuri sana.

Naamini sana urafiki wetu utaishia kwenye ndoa takatifu. Wale wanaosema hapa hamna, jaribuni tena, ombeni na Mungu atawapa kwa kadri ya mapenzi yake. Asanteni kwa mlionitakia heri.

Hakuna lisilowezekana, ili mradi ulifanya hivyo kwa moyo wa dhati na kumtumainia Mungu mwenyezi. Hongera kwa kufanikisha mpango wako na kutoa mrejesho (feedback) katika jukwaa.

Yatendeni yampendezayo Mungu ili hatimaye siku moja yeye mwenyewe apate kuwaunganisha katika ndoa takatifu ili mpate kibali cha kuishi pamoja kama mume na mke katika kuutukuza uumbaji wake yeye muweza wa yote, huku mkipeana pasipo kunyimana na kusaidiana katika maisha yenu ya kila siku.
 
Tunasubiria Kadi za Michango. Tafadhali usinisahau Uenyekiti wa Kamati ya DATSE.
 
Back
Top Bottom