elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,743
Anza na marekebisho ya Avatar. Kwikwikwikwiiiii
Daaah, sasa ntarekebishaje tofauti na wengine avatar yangu ndiyo picha yangu halisi kwani vipi sivutii?
Anza na marekebisho ya Avatar. Kwikwikwikwiiiii
Hahaha nilikumiss kumbe upo, kidonda kimeanza kauka sasa nimeamua kuwa like a politician in a mission
huogopi???
Chonde usije ukarithi mikoba ya mzabzab
Anabadilika mwenzio
Habari wanaJF,
Mda umepita tangu nijitojeze kutafuta rafiki wa kike kupitia hii forum. Bahati nzuri kwangu, naamini nimempata ambaye Mungu aliniandalia. Tumeanza taratibu sana na urafiki wetu unaendelea vizuri sana.
Naamini sana urafiki wetu utaishia kwenye ndoa takatifu. Wale wanaosema hapa hamna, jaribuni tena, ombeni na Mungu atawapa kwa kadri ya mapenzi yake. Asanteni kwa mlionitakia heri.
Hahaha, kama ina masirahi ntaipokea kwa mikono miwili tena kama ni urithi ntaudai kabla hata hajafa
Hahaha, kama ina masirahi ntaipokea kwa mikono miwili tena kama ni urithi ntaudai kabla hata hajafa
Haina hata masilahi.Utagaragaza P yako.Muulize mzabzab
hongera kumbe inawezekana mimi bado natafuta mume
Mmmh, sa mbona nimeanza ogopa. Mazabzab naomba uje hapa ufunguke maana ziondaughter ameanza tishia plan E yangu
Visit profile yake utapata majibu.
Habari wanaJF,
Mda umepita tangu nijitojeze kutafuta rafiki wa kike kupitia hii forum. Bahati nzuri kwangu, naamini nimempata ambaye Mungu aliniandalia. Tumeanza taratibu sana na urafiki wetu unaendelea vizuri sana.
Naamini sana urafiki wetu utaishia kwenye ndoa takatifu. Wale wanaosema hapa hamna, jaribuni tena, ombeni na Mungu atawapa kwa kadri ya mapenzi yake. Asanteni kwa mlionitakia heri.
nipo bestHahaha nilikumiss kumbe upo, kidonda kimeanza kauka sasa nimeamua kuwa like a politician in a mission
Kuna siku nilikuwa Madame X alipoiona Avatar yako nikaona ameshtuka sana kama mtu aliyeona Osama vile.Daaah, sasa ntarekebishaje tofauti na wengine avatar yangu ndiyo picha yangu halisi kwani vipi sivutii?
Kuna siku nilikuwa Madame X alipoiona Avatar yako nikaona ameshtuka sana kama mtu aliyeona Osama vile.
Ngoja mwenyewe akija kipande hii atafunguka.Inawezekana ilimkumbusha her first love waliyepoteana miaka mingi mkuu....