JF imenipatia binti.

JF imenipatia binti.

Hongera saaaaaaaaaaaaaaana na naamini Mungu uliyemtegemea ndiye atakayekuwezesha kufikia malengo yako kimaisha. Muishi kwa upendo usio na unafiki na kamwe msiishi maisha ya kitamdhilia....Kuna waliokuambia ni mapema sana kutoa jibu ila naamini umerudi kwetu baada ya kuona kitu katika mwanzo wenu. Nitawakumbuka katika maombi ili mungu awaoteshee mapendo ya dhati daima.

Amina! Tamatheo
 
Last edited by a moderator:
Aaaah umeishiwa wewe jamaa? Kitaaani kote, kanisani, shuke ulizosoma mpk uje huku..halafu hapo hujamng'oa huyo manzi unasema umepata binti au binti wa kuwasiliana nae? Kuna jamaa alinambia mapenzi ya social medias ni mnakutana humu humu, mnatongozana humu humu, mnapendana humu humu, s*x chat humu humu, kukiss na kuhug humu humu, then mnaachana humu humu hata kuonana hamna..!..over...!
 
Kwanza ninakuhurumia na huyo wa mtandaoni.
Kama ulishindwa kumpata binti akufaaye kanisani, chuoni, sokoni, hotelini, mgahawani, kazini, kwenye daladala n.k ambapo ungeweza kumwona ni dhahiri hapo umekwaa kisiki cha mpingo.
Wako wengi ambao wameshalambwa mitaani mpaka wameshindikana then wanaona wakimbilie mtandaoni ili wawapate wasiowajua-labda kama na wewe umeshindikana mtaani kwenu hapo ntasema umepata wa kufanana naye otherwise ninaamini yatakushinda tena muda si mrefu na utakuwa ndo mwisho wako JF.
 
Aaaah umeishiwa wewe jamaa? Kitaaani kote, kanisani, shuke ulizosoma mpk uje huku..halafu hapo hujamng'oa huyo manzi unasema umepata binti au binti wa kuwasiliana nae? Kuna jamaa alinambia mapenzi ya social medias ni mnakutana humu humu, mnatongozana humu humu, mnapendana humu humu, s*x chat humu humu, kukiss na kuhug humu humu, then mnaachana humu humu hata kuonana hamna..!..over...!

Umeongea kinadharia zaidi mkuu. Kama nnavyoweza kupata kanisani/shuleni /sokoni na kwingine basi hata hapa pia naweza kupata.
 
Mkuu hujapata hadi leo? Maana ulianza kitambo kutangaza ujue.

Ndio hivyo mkuu, japokuwa kuna mmoja nilikutana nae kwenye pitapita zangu nikajaribu kuongea nae na namba ya simu akaniachia ila inaonesha kama bado hayupo willing.
 
Kwanza ninakuhurumia na huyo wa mtandaoni.
Kama ulishindwa kumpata binti akufaaye kanisani, chuoni, sokoni, hotelini, mgahawani, kazini, kwenye daladala n.k ambapo ungeweza kumwona ni dhahiri hapo umekwaa kisiki cha mpingo.
Wako wengi ambao wameshalambwa mitaani mpaka wameshindikana then wanaona wakimbilie mtandaoni ili wawapate wasiowajua-labda kama na wewe umeshindikana mtaani kwenu hapo ntasema umepata wa kufanana naye otherwise ninaamini yatakushinda tena muda si mrefu na utakuwa ndo mwisho wako JF.

Kumbe hata mitaani wanalambwa, sasa lipi unalolikimbia hapo? Kila mtu ana njia zake za kutafuta mchumba.

Yote ni kuomba Mungu tu.
 
Tatizo watu wamekariri, hawajui hata huko kanisani unaweza ukaopoa GALASA..! Wasikukatishe tamaa ndugu yangu..!!

Mke anapatikana popote pale..! Kila la heri.!!
 
tru lov inakuja kwa njia yyte.
hakuna formula.
GOOD LUK!!!!
usisahau sala
 
Kwanza ninakuhurumia na huyo wa mtandaoni.
Kama ulishindwa kumpata binti akufaaye kanisani, chuoni, sokoni, hotelini, mgahawani, kazini, kwenye daladala n.k ambapo ungeweza kumwona ni dhahiri hapo umekwaa kisiki cha mpingo.
Wako wengi ambao wameshalambwa mitaani mpaka wameshindikana then wanaona wakimbilie mtandaoni ili wawapate wasiowajua-labda kama na wewe umeshindikana mtaani kwenu hapo ntasema umepata wa kufanana naye otherwise ninaamini yatakushinda tena muda si mrefu na utakuwa ndo mwisho wako JF.
Kwa hiyo hao wa Makanisani,Mitaani,Mashuleni,Kwenye Daladala ndio Mabikira!!!
 
Big up kijana.Kanisani wamejaa wauza sura,wameoza mpaka wanaamua ku act wamemrudia Mungu.
 
Tatizo watu wamekariri, hawajui hata huko kanisani unaweza ukaopoa GALASA..! Wasikukatishe tamaa ndugu yangu..!!

Mke anapatikana popote pale..! Kila la heri.!!

Thanx! Neylu, Wengi hawalitambui hilo....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom