JF imenipatia binti.

JF imenipatia binti.

hongera sn..yote yawezekana kwa kila aaminie
 
Kuchema kweli njomba, mi mwnjenu chichemi kintu chacha ivi. Chubiri. Bhaaaaa! Nke wa ntandao? Chielewi, kule kuchema kwa kweli. Chipati picha.
 
Congrats,Muumba awatangulie mfikie malengo.
 
Habari wanaJF,
Mda umepita tangu nijitojeze kutafuta rafiki wa kike kupitia hii forum. Bahati nzuri kwangu, naamini nimempata ambaye Mungu aliniandalia. Tumeanza taratibu sana na urafiki wetu unaendelea vizuri sana.

Naamini sana urafiki wetu utaishia kwenye ndoa takatifu. Wale wanaosema hapa hamna, jaribuni tena, ombeni na Mungu atawapa kwa kadri ya mapenzi yake. Asanteni kwa mlionitakia heri.
Nasita kukupa hongera ama pongezi. Endelea kuwa mwangalifu sana maana humu mitandaoni vipo vingi vya hatari
vilivyojificha.
 
Nasita kukupa hongera ama pongezi. Endelea kuwa mwangalifu sana maana humu mitandaoni vipo vingi vya hatari
vilivyojificha.

Mkuu, hayo unayosema yanatokea hadi mitaani. Ni kuomba Mungu na kufuata principle ulizojiwekea, ila asante kwa ushauri wako.
 
::
Tena wee Lisa ndo heri zikuandamane hadi ukose mahali pa kuzihifadhi
=

Hahahahahaahaaaaaaaaaaaaaaa! asante sana , Aminaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! na Mwenyezi Mungu atakabalie maneno yako yawe ya kweli.
 
safi sana all the best..... Ngoja na mimi nikaweke tangazo pia
kidonda kimeshapona ndugu ????au ndio umeamua kupanda pikipiki nyingine kabla mifupa haijakuunga vizuri kila la kheri ,weka kwa ungenge uone kama hupati mara moja kutema mayai ugonjwa wa wengi aisee
 
kidonda kimeshapona ndugu ????au ndio umeamua kupanda pikipiki nyingine kabla mifupa haijakuunga vizuri kila la kheri ,weka kwa ungenge uone kama hupati mara moja kutema mayai ugonjwa wa wengi aisee

Hahaha nilikumiss kumbe upo, kidonda kimeanza kauka sasa nimeamua kuwa like a politician in a mission
 
Back
Top Bottom