MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,008
Dah!!! kila la heri mkuu, ngoja na sisi tuongeze juhudi mzee
Mkuu hujapata hadi leo? Maana ulianza kitambo kutangaza ujue.
Dah!!! kila la heri mkuu, ngoja na sisi tuongeze juhudi mzee
Hakuna lisilowezekana, ili mradi ulifanya hivyo kwa moyo wa dhati na kumtumainia Mungu mwenyezi. Hongera kwa kufanikisha mpango wako na kutoa mrejesho (feedback) katika jukwaa.
Yatendeni yampendezayo Mungu ili hatimaye siku moja yeye mwenyewe apate kuwaunganisha katika ndoa takatifu ili mpate kibali cha kuishi pamoja kama mume na mke katika kuutukuza uumbaji wake yeye muweza wa yote, huku mkipeana pasipo kunyimana na kusaidiana katika maisha yenu ya kila siku.
Mume wa jinsia gani?hongera kumbe inawezekana mimi bado natafuta mume
Aaaaaaaaaaaa nooooooooh. Huko utanipeleka kwa Pilato, naomba Kiti cha hiyo kamati ya DATSE (Dawasco, TBL and Serengeti) aqua.We utakuwa mtunza fedha.. ofa nzuri mkuu.
Mume wa jinsia gani?
Habari wanaJF,
Mda umepita tangu nijitojeze kutafuta rafiki wa kike kupitia hii forum. Bahati nzuri kwangu, naamini nimempata ambaye Mungu aliniandalia. Tumeanza taratibu sana na urafiki wetu unaendelea vizuri sana.
Naamini sana urafiki wetu utaishia kwenye ndoa takatifu. Wale wanaosema hapa hamna, jaribuni tena, ombeni na Mungu atawapa kwa kadri ya mapenzi yake. Asanteni kwa mlionitakia heri.
Miaaa miaaaa mkuu.😀:thumbup:: usijali
Ungekua umefkia japo ile level ya kuweka pete ya uchumba kidolen kwake ningekuelewa kwa sasa sielewi unashukuria nini coz u still have a long long way to go