Mtoto wa Kishua
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 834
- 151
Kama Mkurugenzi na Katibu Mkuu wanashindwa hata kupigiana simu wakajulishana juu ya mgao wa umeme basi uhusiano kat ya Wizara na Tanesco una matatizo makubwa kuliko inavyoonekana. Yaani Katibu Mkuu naye anausikia mgao kwenye vyombo vya habari!!!!
Ni Kwamba, Mhando huwa anatamba kwamba yeye kapewa mamlaka na raisi katika maamuzi ya Tanesco na hatakiwi kuingiliwa na Wizara.