lynxeffect22
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 626
- 248
Ndiyo yale yale ya kuwataka madaktari warudi kazini na kutoa huduma kwa wagonjwa huku wanajua kabisa CT Scan haifanyi kazi, X Ray machines zinasuasua na hata gloves zinapatikana kwa mbinde. Serikali inataka "optimal performance" lakini haitoi "Optimal cooperation"! Wanataka wavune wasichopanda!!!
Mhando hakutakiwa kusubiri hadi apigwe mkwara; alitakiwa ajiuzulu kazi na kugoma kama walivyofanya madaktari. Utaweza vipi kumkamua ng'ombe maziwa wakati halishwi?
Tukisema sera yao ya nishati ni mbovu watu wanasema "ooh siyo sera ni watu!"!
kwa kifupi sikumbiki exact figure ila huwezi kuzalisha umeme kwa mfano shilingi 10 per unit kisha uuze kwa shilingi 6 .... hasa hasa zanzibar na kale katarriff chao ka muungano!
it is about time watanzania waambiwe ukweli watu wote walipie umeme kadri wanavyotumia fair and square bila kujali zanzibar au siasa nyingine za kuogopa serikali kudondoka