Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
Pasco
Mhando amesimamishwa kwa lipi maana barua zinaonyesha ni utovu wa nidhamu kwa katibu mkuu ili hali Radio na TV zinasema kwa sabavu ya ubadhilifu sasa lipi ni lipi
Pasco na ufahamu wako naomba nikuulize hizo barua kati ya Katibu Mkuu Maswi na MD wa Tanesco zimetolewa kama sehemu (attachment) ya barua ya kumsimamisha Mhando?