M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 152
Uhalali wa report uliyonayo utapimwa na nini? Naogopa usije ambiwa wewe ndio msambazaji wa report fake.
Manake tulio mtaani tutamwaga ugali.
Naeleweka? Na asipoweka "Invisible" basi "Karumekenge" ataweka. Bahati hatuna zaidi ya siku nyingi kuona Bunge linasemaje.