JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

FF kuna zaidi ya kurasa hizo uzionazo, hizo ni kama zimetumika kuonesha kuwa wadau wanayo ripoti nzima...

Kurasa zenye mbivu na mbichi wala si hizo mbili bali zimetulia tuli zasubiri wakati muafaka wa kuziweka hadharani pale tu ukweli ukipindishwa...

Sijui kama umeelewa...

Kijana kasema hizi ndio zilizonyofolewa, ni nini usichoielewa hapo?

Ripoti ipo, wala hilo silikatai na nnachosema mbona hii iliyowekwa hapa sioni wizi wowote? Na hii ndiyo ilisemekana imenyofolewa kwa kuwa inamambo makubwa ndani yake.
 
naona kina tibaijuka na wezi wenzake wanajaribu kutia maneno kwenye huu uzi...😛
 
Umenizalilisha mkuu... Ila ngoja utaona nilichomaanisha. kwa hizo nondo narudia ni ngumu kumeza... sijashawishika. anyway kwa vile invisibo anaziunga mkono ngoja basi woote tukubali tu kwamba ni nooma!!

Sijakudhalilisha....

Nakuombea upate ufahamu ili uelewe.....
 
Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa fedha hizo zilizogawanwa zilikwenda kuhifadhiwa Afrika Kusini na Australia. Na kwamba ili fedha zipelekwe huko ni lazima AG aidhinishe. Na hili pia una maoni gani wewe kama wewe pasina kufungamana na upande wowote?

Ukimaliza hapo jumuika na Nguruvi3 hapa chini ili mjadala uendelee:
Fedha zimegawanwa na nani na kwanini kwanza AG aizinishe.
 
Last edited by a moderator:
Invinsible mimi nilichosikia breaking news ITV ni kwamba watu wamesambaza report na pages ambazo hazipo ni tatu za mwisho. Sasa kwa maoni yangu wewe unatekeleza mkakati huohuo wa wale wanaosambaza kwa kutuhadaa kuwa unatuwekea pgs ambazo zimenyofolewa. Huyo aliyekuambia pg hizo zimenyofolewa nani? Mbona usiweke pg tatu za mwisho kama una nia njema?
 
I recon, kama mzigo wa pages zilizoibwa ni hizi zilizomwagwa hapa basi watakupa wameiba placebo! Invisible tafadhali fafanua!

hainiingii akilini hata mimi niliebatizwa kwamba ni wa kitorondo ninaweza kuona kwamba hamna kitu hapo... but msomi na great thinker anafikiri kuna kitu!! hizo nondo zilizoibwa zimesheheni justification ya kwamba hamna wizi. na ni kizibiti kimoja tu cha kupikwa kitawekwa humu kunyutrolaizi hili joto loote. just wait and see...
 
FF kuna zaidi ya kurasa hizo uzionazo, hizo ni kama zimetumika kuonesha kuwa wadau wanayo ripoti nzima...

Kurasa zenye mbivu na mbichi wala si hizo mbili bali zimetulia tuli zasubiri wakati muafaka wa kuziweka hadharani pale tu ukweli ukipindishwa...

Sijui kama umeelewa...
Kurasa zilizonyofolewa ni tatu za mwisho.kama sikosei 57,58,59.
means kurasa zingine ndo zilisambaa mtaani.
hizi kurasa zilizowekwa hapa sio zile tatu zilizonyofolewa kwani sio hizo 57,58,59.
means kwamba zilizowekwa hapa ni zile kati ya zilizosambaa mtaani.
 
Mkuu....👍👍👍👍


Plz, do the needful, ASAP....tupia the last 3 missing pages....meaning pages 57, 58 & 59


With due respect, mwaga hapa....!!


Ni viambatanisho mkuu wangu. Basically tunavyo, na hata hizo pages mbili nilizoweka zimenyofolewa!

Hapa ninachotaka wafahamu ni kuwa, hatutaki kuingilia utendaji wa Bunge lakini wasihangaike na sarakasi zao; moto huu hauzimiki kwa kuumwagia petroli!
 
uwajibikaji ni dhana ngumu kwa selikari hii, ccm wimbo waliouzoea na wanajua kuucheza ni ufisadi.nakala halisi ni muhimu kila mtu aipate kwa madhumuni ya kuweka kumbukumbu sawa.
 
Safi sana walio kwapua karatasi lengo lao ni kuleta mkanganyiko ili mjadala uchelewe!
 
Matola, umeamua kubadili mada naona. Yaleyale ya ccm na babu wa loliondo. Hutaweza mkuu, acha watu waendelee kuchakata ESCROW na si UDINI.

Kama wewe ni mgeni hapa JF huwezi elewa nilichoandika na niliyemlenga.

Jifunze how to read between the line taratibu tu na wewe utaelewa.

Mimi ni mkristo tena mkatoliki kama ulikuwa hujui.
 



Kimsingi, ripoti nzima ipo na itawekwa hewani endapo michezo inayochezwa itaendelea!

Nimesikitishwa na taarifa za kuanza kunyofolewa kurasa za ripoti hii; bahati nzuri kuna watu wanayo original copy na imeshasambaa sana hivyo ni vema wahusika wakaacha wabunge waifanye kazi yao kwa kadiri inavyostahili.

Hatungependa kuingilia sana lakini tunaona kama tunalazimishwa kufanya hivyo.

DOKEZO:

Hizi chini ni baadhi ya kurasa zinazodaiwa kunyofolewa...



Wengine tulikuwa tumeanza kupoteza imani na Jukwaa.Asante Mkuu.
Nchi hii ni zetu zote panapo uhalifu wa aina hii na wenye kuweza kusaidia kuuzuia hata kwa 0.0001% ni heri akafanya hivyo na ni dhambi kutokuchukua hatua.

Ni kweli wachaa Bunge lifanye Kazi yake wakishindwa huku nje tuendelee na mjadala iko siku kelele za wanaoitwa matumbili na wajinga zitasikika!
 
Kijana kasema hizi ndio zilizonyofolewa, ni nini usichoielewa hapo?

Ripoti ipo, wala hilo silikatai na nnachosema mbona hii iliyowekwa hapa sioni wizi wowote? Na hii ndiyo ilisemekana imenyofolewa kwa kuwa inamambo makubwa ndani yake.

wapi kasema ndio zenye mambo makubwa zaidi ya nyingine?? unatetea yet another capital mistake, done on great misculcations ...ili watu wajue unyofoaji na usambazaji wa hiyo ripoti Dodoma is just a hoax , Mengi hawezi Ku commit TV take kutangaza uwongo just for the sake of revenge. Yeye ni kiongozi wa jukwaa LA maadili ya utangazaji can't do such stupid thing. So ripoti kama walionyofoa na kusambaza baadae wakagundua wamekosea they Have great harm than good. usipoteze muda wako kutuambia uvumi was mitaani.
 
Haaaaahhh ukimwaga mboga namwaga ugali,natoboa sufuria,namalizia kuzima moto tena kwa maji ili tusile wote!!!! Hii ni hatari kwa kwl!
 
Nilivyoelewa jamaa iptl chao jumla ni usd 79 m ktk hela za escrow na hio 79 watoe zetu kodi kwa tra

Katika hio 79 kuna 45. Cent cent capacity charge na 33. Centi cent za faini plus riba

Tanesco wakaomba wasamehewe hio 33 ...iptl wakasema hewala lau na nyie mtusamehe kodi

Sasa kama stahili yao iptl ni usd 79 (humo kupa kod yetu pia) je kwa nini walipwe mpunga wote wa godauni la escrow tegeta
 
Wengine tulikuwa tumeanza kupoteza imani na Jukwaa.Asante Mkuu.
Nchi hii ni zetu zote panapo uhalifu wa aina hii na wenye kuweza kusaidia kuuzuia hata kwa 0.0001% ni heri akafanya hivyo na ni dhambi kutokuchukua hatua.

Ni kweli wachaa Bunge lifanye Kazi yake wakishindwa huku nje tuendelee na mjadala iko siku kelele za wanaoitwa matumbili na wajinga zitasikika!
Kwani hizi pg mbili zinatusaidia nini wakati zipo mtaani? Angeweka pg tatu za mwisho ndio tungeona anataka kutusaidia na hatumiki na hao wanaosambaza
 
Back
Top Bottom