Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,185
- 13,760
Last edited by a moderator:
akina Bucha la nani?
Mdugu yangu, Invisible anatuma ujumbe kwa wahusika kuwamzigo mzima upo kama ulivyotengenezwa. Sarakasi za mitaani hazitafanikiwa,wakiingia theatre mzigo uletwe kama ulivyo.
Waenyewe wanasemani prelude, kama hawakubali CD nzima itawekwa hadharani muda muafaka.
nasikia mwizi wa ripoti Hii ni chief kiunbe
tupo macho tunafatilia,hii ni saa 7 usiku.ESCROW ni bora kuliko usingizi.
Inayowahusu wamelala wewe unakesha?
Mkuu Invisible nimekuelewa Vzr lkn Angalia wasije wakawamwagia mpunga mkashindwa kuleta Hizo nakala...!
sema huna siyo unashindwa ku-upload,
siku zote huwa una upload namna gani na usiku huu net hata kwa babu Loliondo ipo kitu cha 3G.
hata kama ungekuwa nayo usinge upload wewe na wenzio kina Ritz, FaizaFoxy, Hamy-D, MwanaDiwani, chambruma na wale wenzenu hili kwenu ni ziwa la moto hamuwezi kujitiamo!