Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,192
- 1,976
kwa nini tusiandamane kwenda JWTZ-UPANGA?
Kufanya nini mkuu?
kwa nini tusiandamane kwenda JWTZ-UPANGA?
Now this is Jf!The genuine one,ilee ya zamani ninayoijua.
Usipaniki Bucha ......Hahaha....
Leo Jumapili, ofisi zimefungwa.
..... Hii Nchi Inabidi Duchapane Kwanza Ndo Heshima Itarudi
.... Mkuu Vip Na Wewe Ulipata Kamgawo Nini? Mbona Unatetea Wezi. Hebu Ona Aibu Mkuu
Jamaa anajifanya kupata moto
Ndio maana nasema kila siku wewe una ufahamu finyu sana. Ni lini kodi ya serikali kampuni binafsi inanegotiate?Naona umekasirika, ulioyakuta hukuyategemea? usikasirike, huo ndio ukweli.
Mtaumia roho zenu sana mwaka huu. Hamna jipya zaidi ya kutukana na kusema uongo.
Umeona eeh! Wiki hizi chache zinatia moyo sana kuona ile JF ya zamani imerudi tena kwa kishindo kikubwa. Natumai haitapotea tena.
Moto wa nini?
.....Unataka jipya la nini wakati we mwenyewe wa zamani.Naona huna jipya.
haaah,haah bosi wako wa zamani kaamua kamwaga ugali,mboga na majiKufanya nini mkuu?
Mkuu, sioni mahala nilipokuhusisha na comment yangu ama kukutaja, vipi kunihoji?
Hapa tunachangia hoja kuhusu kunyofolewa kurasa za ripoti juu ya Escrow, hayo mengine ni nje ya mada.
Invisible nakushangaa unaposema "taarifa za kuanza kunyofolewa kurasa za ripoti hii", unajishusha hadhi yako. Ripoti za mitaani kuchomolewa kurasa wewe au mwingine yeyote wa karne hii zinamstuwa?
Ripoti kamili na rasmi zipo, na wala hizo za mitaani zisikufanye ukakurupuka. Ngoja Zitto aziwasilishe ka mujibu wa kanuni na sheia za bunge, kama zitakuwa mbadala na zile za CG na PCCB hapo ndipo utakuwa na la kusema, kwa sasa chunga hadhi yako usiingizwe mkenge ukawa biased.
Invisible nakushangaa unaposema "taarifa za kuanza kunyofolewa kurasa za ripoti hii", unajishusha hadhi yako. Ripoti za mitaani kuchomolewa kurasa wewe au mwingine yeyote wa karne hii zinamstuwa?
Ripoti kamili na rasmi zipo, na wala hizo za mitaani zisikufanye ukakurupuka. Ngoja Zitto aziwasilishe ka mujibu wa kanuni na sheia za bunge, kama zitakuwa mbadala na zile za CG na PCCB hapo ndipo utakuwa na la kusema, kwa sasa chunga hadhi yako usiingizwe mkenge ukawa biased.
Unarahisisha sana mambo!
Okay, mkuu turudi kwenye mada!