Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,626
Inahusu nini? Dr. Salim na Warioba, wote kundi moja, bado wana usongo wa kushindwa na Kikwete.
Kwahiyo we we unapenda sisiem au penda profeseri
Inahusu nini? Dr. Salim na Warioba, wote kundi moja, bado wana usongo wa kushindwa na Kikwete.
Wee ni mpuuzi kweli. Wana exemption ya tax wangeenda kunegotiate?. Umevurugwa wewe.
Soma vizuri ikibidi urudie huku umetuliza akili kuanzia hapo kwenye tahadhari ya TANESCO.... makubaliano Kati ya IPTL na TANESCO juu ya kiasi gani kilipwe halafu tafuta kiasi kilicholipwa baada ya makubaliano hayo then tafuta Kama kodi halali ililipwa.....
Inahitaji fikra ya juu kuelewa kilichomo humo Kama ndo mwenzangu na mie Wa nyimbo za kitorondo utaambulia patupu.....
Usione watu wazima wapo busy mpaka wanakosa usingizi ukadhani ni mambo mepesi....
Kwahiyo we we unapenda sisiem au penda profeseri
Mkuu suala hilo halichanganyi kabisa. Intaegemea unaliangalia kwa jicho gani na upana upi.Mkuu,
Suala la Escrow bado linachanganya sana! Je, fedha ni za Serikali au IPTL? Kama ni za Serikali ilikuwaje IPTL ikalipwa? Kama ni za IPTL kwa nini mawaziri, maaskofu, majaji, nk wagawiwe? Na kama hao watu waligawiwa kihalali, mbona wanahaha sana hata kunyofoa kurasa za Ripoti? It is so confusing kwa kweli!!
We maza huwa unajitahidi sana kufanya watu wajinga?? umesoma bandiko zima LA Invisible kwani kasema ndio hizo tuu?? tuliomuelewa kasema nyingine anazo na ikibidi ataziweka, ila katoa onto kwa hao wanaodhani kunyofoa kurasa no ujanja. Binge lifanye kazi yake. Endelea kupiga kimya tu kwenye hili, subiri mengine utaendelea tu kuonyesha umahiri wako. Au kama huna kazi uwe unatusahihishia kiswahili chetu tunapokosea.
Halafu mijizi yenyewe mingi ni mikristo, huyu Fox ameshakuwa kibaraka wa wakatoliki.
ndio nimesoma mkuu.. kwa lugha nyepesi ninachojaribu kusema ni kwamba hizo page ulizoweka kama ndio zilikuwa zimenyofolewa na kwa maelezo yaliyomo sioni madhara yake hata zikifafanuliwa vipi. zaidi zaidi zinawalinda hao bad guys. sasa kama hizo ndo nondo zenyewe mpaka zimenyofolewa sidhani kama zilizobaki zitakuwa na madhara.. hili ni bao la kisigino tayari...
naomba mtu wa 37 awe ni mwana JF, kwani nchi hii inamilikiwa na watu 36 tu?Mkuu,
Naomba uelewe kitu kimoja; tukifanya mambo ili 'tusisimuke' au 'tuwasisimue' watu basi hatutafanikiwa katika kufanikisha hili.
Umakini ni muhimu; briefly ni kuwa 'wao' wameshaona kuwa tunayo ripoti yenyewe; hivyo hawana sababu ya kutulazimisha tumwage mboga zaidi. Waifanye kazi yao! Nawe kama mwananchi, fanya kujua kuwa vyovyote iwavyo hata ikichakachuliwa bado hii kitu itaenda hewani.
Cha kufurahisha ni kuwa hii ripoti wanayo watu takribani 36 hivi (nzima)
Angalieni Star Tv
Kijana kasema hizi ndio zilizonyofolewa, ni nini usichoielewa hapo?
Ripoti ipo, wala hilo silikatai na nnachosema mbona hii iliyowekwa hapa sioni wizi wowote? Na hii ndiyo ilisemekana imenyofolewa kwa kuwa inamambo makubwa ndani yake.
You better be sorry!!!!
Any wise man who knows the fundamentals of context will never expect common sense to be common!!
Impotent maxims derived from a sheer wish will never stand to be an authority leave alone the emic-etic phases of thesis-antithesis-synthesis flow of events!!!!
The pompous and pretenders will never shine above the power of knowledge and respect to human dignity!!!
Na wewe unakuwa mtu wa kuingizwa mkenge kirahisi.utajuaje ripoti imechomolewa kabla ya kusomwa?je ikisomwa yote si utajishushia hadhi?ungeacha wanyofoe halafu umwage ndio ungeonekana shujaa