Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Mnitag please.
kakobe noma, hii ishu ya escrow siyo mchezo "the big brother is watching you"
Soma vizuri ikibidi urudie huku umetuliza akili kuanzia hapo kwenye tahadhari ya TANESCO.... makubaliano Kati ya IPTL na TANESCO juu ya kiasi gani kilipwe halafu tafuta kiasi kilicholipwa baada ya makubaliano hayo then tafuta Kama kodi halali ililipwa.....
Inahitaji fikra ya juu kuelewa kilichomo humo Kama ndo mwenzangu na mie Wa nyimbo za kitorondo utaambulia patupu.....
Usione watu wazima wapo busy mpaka wanakosa usingizi ukadhani ni mambo mepesi....
Ha ha ha siku moja nilimtania waziri Fulani aliyeanguka ...
Akishindwa kukuelewa basi usimueleweshe tena...
Watanzania wa namna yake ni wengi mno halafu ndio walalamishi nambari moja...
Unamaanisha Ngeleja...?
Ni viambatanisho mkuu wangu. Basically tunavyo, na hata hizo pages mbili nilizoweka zimenyofolewa!
Hapa ninachotaka wafahamu ni kuwa, hatutaki kuingilia utendaji wa Bunge lakini wasihangaike na sarakasi zao; moto huu hauzimiki kwa kuumwagia petroli!
Tetesi zilizoko ni kuwa hio taarifa ya CAG imechakachuliwa kabla ya kuwasilishwa bungeni, hofu kubwa ya PM ni uwezekano wa kuibuliwa Original version !!! Nimrod Mkono inasemekana anayo uncut version !!! Mkuu Invisible ikiwezekana tuwekee na ile ya PCCB ili kukata mzizi wa fitna...
Ilishajadiliwa bungeni ifungwe! Hawataki uhuni wao uanike.Jf kiboko
Ukiamua kuheshimu utu na nafsi yako PESA haitokupa shida kukufanya utende usiyopenda....
Wiki ilopita nilipotoa msimamo Mkali juu ya hili nilipigiwa SIMU za vitisho na hongo eti tu nitetee ujinga....
Ktk maisha nilishachora mstari kuwa hela haiwezi nunua fikra zangu....
CCM ilishajiandaa kwa hili ndio maana wakati JK anaenda US nilisema hapa anaondoka kutuachia uwanja tucheze vizuri ngoma ya ESCROW nafikiri BAK anakumbuka....
CCM wangekuwa against hii issue wangeivumbua mapema kwa sababu wana full access na mambo yanayofanyika, lakini walikaa kimya hadi pale issue ilipofunuliwa na mbunge wa upinzani sasa CCM nao wanajifanya kuamka! Hivi lusungo unataka kutuaminisha CCM hasa waandamizi wakuu hawakujua uwepo wa huu uharamia kabla ya mhe. Kafulila?Hii ishu bila wanaCCM kuwa against nayo isingefika hapa ilipo....
Think big.....
Thank you Jamiiforums na wale mnaoitakia mema Tanzania
Nimewaza sana kuanzia juzi, hasa hii tabia yetu ya "kuheshimu na kutukuza watu" bila tija nikasema IT CAN BE DONE, if we all say no, regardless of political affiliation, kila mwizi ataogopa bila kujali itikadi yake
IT IS TIME TO STAND UP AND BE COUNTED AS TANZANIANS - YES WE CAN!!