JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

Hii ni king'ola cha hatari,ni warning kwa wahuni wote maCCM kuwa watu wapo makini! walianza na story za "tumbili" tukawadhibiti, wakaja na story za zuio la mahakama watu mapema wamewadhibiti, na huu ujanja ujanja wa uchakachuaji unadhibitiwa mapema.Ili mjue kuwa watu wapo makina.

= king'ora
 
Ignorance is like a dark night and a good name always shines in the dark!

Ignorance is a magnet for preconceived idea!

Hivi mtu mwenye akili pevu anaweza kuamini kuwa Copy zote za ripoti zimeibiwa au page zimenyofolewa wakati wajumbe wote wa Kamati ya PAC wana original copy achilia mbali ofisi ya CAG na TAKUKURU.

Waacheni kwanza wabunge wafanye kazi yao waliyotumwa na wananchi.

If at all them people are styupid, dumbbs, embacillez, dimwitted and all the shunning names . . . . ., .
Why do you at times believe in them and give them a power to vote . . . . .
What keeps some of you preaching days and nights on what you want them to believe in and follow. . . . .

A wise man always think before allowing the vocal cords to resonate!!!!
 
Ungekuwa wewe hapa usharekebisha maneno kama; ka, sheia, CG nk lakini wenye akili zao wanaelewa content hawashughuliki na typing errors

Huwa sirekebishi typing errors huwa narekebisha makosa ya R na L, Ambayo si typing error kabisa. Chunguza.

Isitoshe, ahsante kwa ku point out, nakwenda kurekebisha.
 
Kwa hali iliyofikia kwa nchi yetu hivi sasa, na kwa namna mafisadi waliohusika na ukwapuaji wa mabilioni ya Escrow account, walivyopanga kwa njia zozote kuhakikisha kuwa ripoti hiyo ya CAG isisonwe bungeni.

Inabidi kwa sasa kila mtanzania kwa imani yake ya dini, tumwombe Mungu wetu, atuvushe salama siku 3 zijazo, ambazo Taifa letu litapitia kipindi kigumu, ambacho pengine halijawahi kupitia, tokea nchi hii, ipate uhuru wake mwaka 1961.

Hiyo inatokana kuwa hao wanaotajwa kwenye ripoti hiyo ya CAG, siyo walalahoi, bali ni vigogo wakubwa wenye nguvu kubwa sana kiuchumi na kisiasa.

Kwa hiyo umma wa watanzania, macho na masikio yao kuanzia kesho, watayaelekeza Dodoma kwenye jengo la bunge, ambako mategemeo yetu ni kuwa wabunge bila kuangalia itikadi zao za kisiasa, watasimama pamoja na kuhakikisha wanatimiza wajibu wao no 1 tuliowapa sisi wananchi, wa kuisimamia serikali.

Inapaswa pia wabunge wote wakumbuke kauli ya busara aliyoitoa Naibu Spika, Job Ndugai, aliposema kuwa bunge lao haliwezi kuunda umoja wa kulinda waovu!
 
MKUU mm ni PM hiyo report mi ntaiweka hadharAni na wala hatutadhulika na lolote wapi mwizi aibe kwako usubiri jirani kupiga kelele mi niko radhi yaniPate unayoyaogopa leta mzigo


Ukifanya hivyo utakuwa umeingilia kz ya BUNGE mbona mkuu Invisible amefunguka vzr sana,,,!
 
Last edited by a moderator:
katika sakata hili kila jiwe lazima lipinduliwe. hatuwezi kukubali hawa wezi watafune mali za umma hivi hivi huku tunawachekea.
 
Mkuu buibui hajawahi kuhamisha mtu nyumba!!!!

Kulikuwa na utulivu sana wakati Invisible kaweka huu uzi lakini kulipoanza kukucha tu basi raia wameingia na jazba na kuanza kuandika vitu vilivyo kinyume kabisa na lengo la uzi huu...

Inaudhi sana mtu anapokosa utulivu kwa mambo ambayo yameelezwa kwa wazi kabisa...
 
Ndio maana nasema kila siku wewe una ufahamu finyu sana. Ni lini kodi ya serikali kampuni binafsi inanegotiate?

Naona umesahau kuwa hiyo ni lugha ya negotiation, ni TANESCO waliotaka waondolewe capacity charges na mfanya biashara anasema na wewe ondoa kodi. Hapo sasa!

Hilo wala si la maana, na hutokea kwenye negotiation za miradi mikubwa kila siku na usisahau kuwa miradi mikubwa mingi ina exemption za kodi.

Pia kumbuka, kuna tax evasion na kuna tax avoidance, tax evasion ni kosa, tax avoidance si kosa.
 
Unafikiri Kama wanaCCM na wazito wasingekuwa na ridhaa juu ya hili Kafulila angefika wapi??

Jiulize swali jepesi tu ... Unakumbuka majibu ya watawala juu ya sakata hili kwenye hatua za mwanzo kabisa lilipoibuliwa na Kafulila?

Je unadhani bila msukumo Wa hao CCM kwenye hili Kafulila angefurukuta? kuna mangapi yanaibuka na kuzimwa bila lolote kutokea?

Je hujiulizi jeuri na kujiamini kwa watawala juu ya majibu waliyotoa awali imepotelea wapi? ni kafulila tu ameweza kuzima jeuri hii? Kama ndiyo mbona mwanzo hakuweza??

Unaamini ni Kafulila pekee anaehangaisha watawala wasilale??

Kama ndivyo fikra zako zilivyo Una safari ndefu Sana kuutambua ulimwengu huu Wa tabu...

Sasa .. Hayo mengine kwa nini mlikuwa mnazima?? Bila shaka mmeona maslahi katika hii ishu....teh teh MACCM wajanja sana mmmeona watanzania tumeamka mnaanza kujikosha.
 
Ungekuwa wewe hapa usharekebisha maneno kama; ka, sheia, CG nk lakini wenye akili zao wanaelewa content hawashughuliki na typing errors

Achana na Malaya huyo sisi tujikite namna ya kuwashughurikia wezi wote wa pesa zetu.
 
Naam, nna mengi ya kujifunza kila siku wakati nipo hai, nnawashangaa nyinyi wapya mnaojiona kuwa mnajuwa kila kitu.

We bibi nae unakera!Yaani kila hoja wewe ni kupinga tu,hivi wewe ni mtanzania kweli?Mbona huna uchungu na hii nchi!Mi binafsi nimekuchoka,hata nikiona jina lako nahisi kama nimekutana na kinyesi njiani.
 
Weka pages zenye recommendations. Hizi hadith hazina issue
 
.... Mkuu, Sirahisishi Mambo, Sema Sis Watz Bado Ubongo Umeganda.. Ukiwaongoza Watz Hupati Tabu Sana, Hawana Makuu, Haya Yangetokea Kenya Ungeona Moto Wake
We mnyarwanda mambo ya watanzania yanakuhusu nini?
 
Back
Top Bottom