Mkuu,
Pumzika; lengo si kuvuruga mwenendo wa Bunge bali kuwafanya wanaojaribu kufanya upotoshaji wafahamu kuwa nyaraka nzima ya ripoti ipo tayari kwetu raia na waache michezo yao.
Wawajibishane, kila mtu aubebe mzigo wake. Wanaowajibika na wawajibike; usanii wowote katika hili utachafua hali ya hewa pasi na ulazima wa kufikia huko.
Nadhani tusiendelee, tuliachie Bunge lifanye kazi yake
Ni viambatanisho mkuu wangu. Basically tunavyo, na hata hizo pages mbili nilizoweka zimenyofolewa!Invisible,
ITV wamesema kurasa zilizonyofolewa ni tatu za mwisho zikiwamo zenye orodha ya majina ya wahusika. Hii imekaaje?
tupo macho tunafatilia,hii ni saa 7 usiku.ESCROW ni bora kuliko usingizi.
Ni viambatanisho mkuu wangu. Basically tunavyo, na hata hizo pages mbili nilizoweka zimenyofolewa!
Hapa ninachotaka wafahamu ni kuwa, hatutaki kuingilia utendaji wa Bunge lakini wasihangaike na sarakasi zao; moto huu hauzimiki kwa kuumwagia petroli!
Mkuu Invisible nimekuelewa Vzr lkn Angalia wasije wakawamwagia mpunga mkashindwa kuleta Hizo nakala...!
The bottom lineHapa ninachotaka wafahamu ni kuwa, hatutaki kuingilia utendaji wa Bunge lakini wasihangaike na sarakasi zao; moto huu hauzimiki kwa kuumwagia petroli!
Hii si ripoti ya mtu, ni ya watu. Utahonga wangapi? Kama kuna jumla ya watu takribani 60 wanayo, utaanza na nani umalize na nani?Mkuu Invisible nimekuelewa Vzr lkn Angalia wasije wakawamwagia mpunga mkashindwa kuleta Hizo nakala...!
Inayowahusu wamelala wewe unakesha?
Relax mkuu situation is under control