OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
CCM wangekuwa against hii issue wangeivumbua mapema kwa sababu wana full access na mambo yanayofanyika, lakini walikaa kimya hadi pale issue ilipofunuliwa na mbunge wa upinzani sasa CCM nao wanajifanya kuamka! Hivi lusungo unataka kutuaminisha CCM hasa waandamizi wakuu hawakujua uwepo wa huu uharamia kabla ya mhe. Kafulila?
Kila kitu kina sababu na wakati wake wa kufanyika asemacho lusungo ni ukweli mtupu kuwa ila taarifa kuvuja lazima miongoni mwa waliotayarisha wawe na nia ya kuifanya itoke, motive ikiwa nini sio issue ya sasa! !!!!
Hata kama wamedhulumiana hao waliotoa taarifa; by the way hapa mjadala huu sio wa nani zaid kati ya vyama!!
Tanzania kwanza vyama baadae saaaanaaa!!!
End note; lusungo leo naona unajua kwa nini kuna wakati wewe huwa unaona watu ni vyama X au Y but the truth is now within your very conscious mind!!!
Last edited by a moderator: