Sasa hivi ni No Reforms No Election ndio Salamu kabla ya kuendelea na jambo lingineNjooni niwauzie mafriji na friza![]()
Tunauza Friji na Freezer kwa bei nafuu
Hisense freezers size tofauti tofauti zipowww.jamiiforums.com
Ila
No reforms no election
Tusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...
Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO REFORMS NO ELECTION
N.RN.E
NoReNoE
Ama picha
Ama mchoro
Ama style yoyote ya maneno lakini ujumbe ukiwa mmoja tuu.. No reforms no election..!
Hata chawa akijaribu kuharibu uzi jibu lake liwe moja tu.. NO REFORMS NO ELECTION
Ombi kwa Moderator: tunaomba muelee na kuutunza huu uzi![]()
hii nonsense ni useless field na ground mmebaki kutafutana wenyewe kwa wenyewe tu humu humu jukwaani 🤣Tusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...
Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO REFORMS NO ELECTION
N.RN.E
NoReNoE
Ama picha
Ama mchoro
Ama style yoyote ya maneno lakini ujumbe ukiwa mmoja tuu.. No reforms no election..!
Hata chawa akijaribu kuharibu uzi jibu lake liwe moja tu.. NO REFORMS NO ELECTION
Ombi kwa Moderator: tunaomba muelee na kuutunza huu uzi🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Hakika kama hatuwezi kusimama jukwaa kama heche na Rose mayemba hata kunyoosha kidole kwa unachukizwa na yanayoendelea ni sahihi kabisaWhy not
Umenuna?hii nonsense ni useless field na ground mmebaki kutafutana wenyewe kwa wenyewe tu humu humu jukwaani 🤣
eti 3k🤣
sasa 3k ndio mtafanya nini wapi kwa mfano gentleman?🐒
Wanaweza wakaufuta hawa jamaa nao wamekaa kichawa. Kuna nyuzi ile ya kura za samia wameufuta nkTusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...
Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO REFORMS NO ELECTION
N.RN.E
NoReNoE
Ama picha
Ama mchoro
Ama style yoyote ya maneno lakini ujumbe ukiwa mmoja tuu.. No reforms no election..!
Hata chawa akijaribu kuharibu uzi jibu lake liwe moja tu.. NO REFORMS NO ELECTION
Ombi kwa Moderator: tunaomba muelee na kuutunza huu uzi🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
NO REFORMS NO ELECTIONNeno "Refirms" lisingeeleweka bila Mama Samia kulileta katika falsafa yake ya R 4.