Leo hutaki mchezo ni NRNE kila kona 🐼
Mimi muasi napinga hiyo na Reform no Election, reforms za kweli Anza na nafsi yako mwenyewe Kisha familia .
Kisha zianze kwenye Elimu na kurekebisha bongo za Watanzania ambao focous zao mambo ya ngono , umbea ,miziki na Simba na Yanga .
Uchaguzi sio solutions ya matatizo yote ya nchi hii kama watu ndio walewale katika Jamii hii hii , wabongo wengi Mafisadi ndio hivyo hawajapata mianya ya kupata nafasi na vitengo.
No reform no electionMimi muasi napinga hiyo na Reform no Election, reforms za kweli Anza na nafsi yako mwenyewe Kisha familia .
Kisha zianze kwenye Elimu na kurekebisha bongo za Watanzania ambao focous zao mambo ya ngono , umbea ,miziki na Simba na Yanga .
Uchaguzi sio solutions ya matatizo yote ya nchi hii kama watu ndio walewale katika Jamii hii hii , wabongo wengi Mafisadi ndio hivyo hawajapata mianya ya kupata nafasi na vitengo.
N.RN.E-2025Tusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...
Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO REFORMS NO ELECTION
N.RN.E
NoReNoE
Ama picha
Ama mchoro
Ama style yoyote ya maneno lakini ujumbe ukiwa mmoja tuu.. No reforms no election..!
Hata chawa akijaribu kuharibu uzi jibu lake liwe moja tu.. NO REFORMS NO ELECTION
Ombi kwa Moderator: tunaomba muelee na kuutunza huu uzi🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Ukikaidi utapigwa tu hakuna namna #Consigliere
Challenge safi sana Mshana. Coments wanazostahili kina tlaatlaah, Mashamba, choicevariable na wengineo ni No reforms No election. Chochote watakachopost ni No reforms No election, No more, No lessTusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...
Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO REFORMS NO ELECTION
N.RN.E
NoReNoE
Ama picha
Ama mchoro
Ama style yoyote ya maneno lakini ujumbe ukiwa mmoja tuu.. No reforms no election..!
Hata chawa akijaribu kuharibu uzi jibu lake liwe moja tu.. NO REFORMS NO ELECTION
Ombi kwa Moderator: tunaomba muelee na kuutunza huu uzi🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Na majini yatapiga....hahahaKwa ID na Maroboti ya mleta mada. 1.5k ni zake.
What a confllation of facts
No reform no electionLazima uchaguzi mkuu ufanyike,no matter what