JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

Leo hutaki mchezo ni NRNE kila kona 🐼
downloadfile-18.jpg
 
Mimi muasi napinga hiyo na Reform no Election, reforms za kweli Anza na nafsi yako mwenyewe Kisha familia .

Kisha zianze kwenye Elimu na kurekebisha bongo za Watanzania ambao focous zao mambo ya ngono , umbea ,miziki na Simba na Yanga .

Uchaguzi sio solutions ya matatizo yote ya nchi hii kama watu ndio walewale katika Jamii hii hii , wabongo wengi Mafisadi ndio hivyo hawajapata mianya ya kupata nafasi na vitengo.
 
Mimi muasi napinga hiyo na Reform no Election, reforms za kweli Anza na nafsi yako mwenyewe Kisha familia .

Kisha zianze kwenye Elimu na kurekebisha bongo za Watanzania ambao focous zao mambo ya ngono , umbea ,miziki na Simba na Yanga .

Uchaguzi sio solutions ya matatizo yote ya nchi hii kama watu ndio walewale katika Jamii hii hii , wabongo wengi Mafisadi ndio hivyo hawajapata mianya ya kupata nafasi na vitengo.
FB_IMG_1749286477359.jpg
 
Mimi muasi napinga hiyo na Reform no Election, reforms za kweli Anza na nafsi yako mwenyewe Kisha familia .

Kisha zianze kwenye Elimu na kurekebisha bongo za Watanzania ambao focous zao mambo ya ngono , umbea ,miziki na Simba na Yanga .

Uchaguzi sio solutions ya matatizo yote ya nchi hii kama watu ndio walewale katika Jamii hii hii , wabongo wengi Mafisadi ndio hivyo hawajapata mianya ya kupata nafasi na vitengo.
No reform no election
 
Tusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...

Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO REFORMS NO ELECTION
N.RN.E
NoReNoE
Ama picha
Ama mchoro
Ama style yoyote ya maneno lakini ujumbe ukiwa mmoja tuu.. No reforms no election..!
Hata chawa akijaribu kuharibu uzi jibu lake liwe moja tu.. NO REFORMS NO ELECTION

Ombi kwa Moderator: tunaomba muelee na kuutunza huu uzi🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
N.RN.E-2025

No R, No E=N.RN.E

No reforms No elections abbriavited to N.RN.E

No reforms for elections procedures in Tanzania, no elections 2025
 
Hizi ni bangi tu hamna kitu hapo kuna maelfu ya watu wanacomment No reform ukiwauliza inamaana gani ? haelewi na anajua maana ukimuuliza zinanisaidia nini sasa mwananchi wa kawaida ambae si mwanasiasa ? majibu hamna sasa siutopolo huu
 
Tusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...

Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO REFORMS NO ELECTION
N.RN.E
NoReNoE
Ama picha
Ama mchoro
Ama style yoyote ya maneno lakini ujumbe ukiwa mmoja tuu.. No reforms no election..!
Hata chawa akijaribu kuharibu uzi jibu lake liwe moja tu.. NO REFORMS NO ELECTION

Ombi kwa Moderator: tunaomba muelee na kuutunza huu uzi🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Challenge safi sana Mshana. Coments wanazostahili kina tlaatlaah, Mashamba, choicevariable na wengineo ni No reforms No election. Chochote watakachopost ni No reforms No election, No more, No less
 
Back
Top Bottom