Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,032
- 828,821
- Thread starter
- #81
Hizi ni bangi tu hamna kitu hapo kuna maelfu ya watu wanacomment No reform ukiwauliza inamaana gani ? haelewi na anajua maana ukimuuliza zinanisaidia nini sasa mwananchi wa kawaida ambae si mwanasiasa ? majibu hamna sasa siutopolo huu