FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
- Thread starter
- #21
All the best, we shall be together!
vere vere
Mwah
hahahanaona umeamua kunichumu kabisa thanx kaizer tutakuwa na PJ mitaa ya AR
All the best, we shall be together!
vere vere
Mwah
ukitaka ku log off tuambie ili tupate kukupigia wimbo wa taifa.
Kumbe na wewe ni mitaa ya chini ya Mlima Kilimanjaro upande wa Tz..
Sikukuu njema mama mkubwa..
Tutakumiss Mama wa kwanza
Viazi vitamu na karanga usihofu vya kwako nitakutumia kwa DHLNajua unaelekea kule kijijini
Usisahau kurudi na viazi vitamu
Sikuku njema
Love you too
natimua mida hii, nitakuwa online tena mida za kumi na moja na nusu saa za east afrika ya mashariki na kati hadi kigali rwanda.na log off saa 6:00 Jioni utakuwa around?
I will sweetnes,
now that its xmas season nisijenyimwa nguo mpya
kila la kheri FL1,will miss u!
Kila la kheri mama wa kwanza,,nahisi nitamiss uwepo wako.
Uwe na wakati wa baraka na wote wanaokuzunguka.
efu elo wani unaenda wapi mama?
mbona wantishaaaaaaaaa
SINA RAHAA SINA RAAAAAAAAAAAAAHAAAAAAAAA (EEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEHHHH)
nitaumia na mawazoooooooooooooooooooooooooooooooo
kama hunipendi nijue hunipeeendiii haiwezekani we kila siku unanizinguaaaaaaaaaaaaaaaaa
efu elo wani unaenda wapi mama?
mbona wantishaaaaaaaaa
SINA RAHAA SINA RAAAAAAAAAAAAAHAAAAAAAAA (EEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEHHHH)
nitaumia na mawazoooooooooooooooooooooooooooooooo
kama hunipendi nijue hunipeeendiii haiwezekani we kila siku unanizinguaaaaaaaaaaaaaaaaa
All the best FL1