Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
- Thread starter
- #161
Hapa nilikuona kama vile mtumishi unafanya kazi yako sawa sawa
Hivyo basi nilidhani kondoo aliyepotea ni huyu hapa, lakini wapi!!??
Kumbe ulimkabidhi kwa vince, ulishapata mwingine mara hii??
Kama mambo yenyewe ndo haya, siwezi tena kumlaumu wiselady, alifanya uamuzi wa busara kukutoroka.
Jmosi nilikuwa natafuta kondoo aliyepotea.
Kumbuka imeandikwa, (Hivi ni nani kwenu aliye na kondoo 100, akapotea mmoja asiwaache wale tisini na kenda kwenda kumtafuta yule mmoja?)
Hivyo basi nilidhani kondoo aliyepotea ni huyu hapa, lakini wapi!!??
Mimi nilikua na swali kwa Sahara Voice ivi Jumamosi unajua nilifikaje nyumbani?
Kumbe ulimkabidhi kwa vince, ulishapata mwingine mara hii??
Aisee, ina maana Vince alikuacha, aaa too bad
Kama mambo yenyewe ndo haya, siwezi tena kumlaumu wiselady, alifanya uamuzi wa busara kukutoroka.