Kiongozi wetu Mwita,
-aka mgeni rasmi
Amani iwe kwako!
Tunafurahi sana kuwa unatujali sana kila ukija!
Lakini zaidi kuna kitu unatufunza kila uwapo na sisi, kuwa katika urafiki na maelewano hakuna lisilowezekana!
Mkuu una mchango wako mkubwa katika mambo mengi tunayojivunia kwa sasa hapa A-Town!
Be the same man, regardless of time changes, karibu sana!