Jeshi latanda Mjini Songea

Jeshi latanda Mjini Songea

mapichapicha
attachment.php

attachment.php

attachment.php
 

Attachments

  • 1432447760139.jpg
    1432447760139.jpg
    39.2 KB · Views: 2,273
  • 1432447801170.jpg
    1432447801170.jpg
    18.1 KB · Views: 2,204
  • 1432447853950.jpg
    1432447853950.jpg
    58.4 KB · Views: 2,230
Mkuu ungetujuza ni action ipi inaonyesha wanafanya mazoezi, wanakimbia mchaka mchaka, push-ups, goosmuch, au ni kipi hasa? Ungeweka na picha ingependeza zaidi

Utamponza mwenzio, ataporwa simu then apigwe nuwa.
 
sasa napata amani kwa kuona huo moshi wa rangi kumbe ni drill tu ya urban warfare
 
Wako kwenye mazoezi ya urban warfare, nature ya jeshi letu ni msituni kwa hali ilivyo inabidi wabadilike.

Homa ya uchaguzi inahusika
 
na nyinyi si muingie barabarani mkawatawanye kama hamna taarifa ya mikusanyiko yao.

mimi nimeona leo basi mbili za jeshi jwtz likiwa eneo la uyole likiwa full wajeda ndani wakawa wanaelekea barabara ya makambako mimi nilikuwa uyole labda nao wanakuja huko anzeni kuandamana kama nyie kweli makamanda si makamanda wenzenu
 
Muda huu kuna milipuko mikubwa ya mabomu hadi nyumba zinatikisika, kwa nini lakini?

Mabomu ?
Ungekaa kule chandamali ndio ungehama kabisa mana kila mwaka mpya lazma yapigwe ile saa 6:00.

Nyumba zina shake kama hazina msingi, yanafukiwa chini then ni paaa, ila ni baruti tu.
 
Vijana wa JKT mujibu wa sheria wanajiona wameiva sana Mkuu, mimi nadhani huo mkusanyiko wao utakuwa ni sehemu ya mafunzo yao, mara nyingi huwa wanajigawa makundi mawili, kundi la Adui na kundi la mapambano. Wanweza anzia porini na kuja mpaka mjini kulingana na mwelekeo wa Adui.

Nafikiri ndicho walichokuwa wanafanya hao Walinzi wetu, Watu wa Songea toeni hofu.

Sio JKT , ni JWTZ ingekua JKT tungezungumzia wale wa mlale ambao ni wakulima tu.
Angalia sare.
 
yale yale ya Genaral Shimbo...mwaka huu tataona mengi CCM hali mbaya
 
Nimependa Zoezi lao la kustukiza,Vikosi vingeni viige kama Songea walivyofanya hakika Maalamia/Bandits/Majmbazi/Magaidi watapotea.

CC: Mwamnyange , Kova , Kikwete , Mbowe.
 
Back
Top Bottom