Mmmh na wewe weka akiba ya maneno kha!!
Mkuu ungetujuza ni action ipi inaonyesha wanafanya mazoezi, wanakimbia mchaka mchaka, push-ups, goosmuch, au ni kipi hasa? Ungeweka na picha ingependeza zaidi
na nyinyi si muingie barabarani mkawatawanye kama hamna taarifa ya mikusanyiko yao.
Muda huu kuna milipuko mikubwa ya mabomu hadi nyumba zinatikisika, kwa nini lakini?
Vijana wa JKT mujibu wa sheria wanajiona wameiva sana Mkuu, mimi nadhani huo mkusanyiko wao utakuwa ni sehemu ya mafunzo yao, mara nyingi huwa wanajigawa makundi mawili, kundi la Adui na kundi la mapambano. Wanweza anzia porini na kuja mpaka mjini kulingana na mwelekeo wa Adui.
Nafikiri ndicho walichokuwa wanafanya hao Walinzi wetu, Watu wa Songea toeni hofu.
Hivi ni kambi z0ote za jesh songea .chabruma chandamali chandarua na ruhuwiko vimetawanyika hapo mjini
Kwani polisi hawajaingia mtaani kuwatawanya?
Na mie ndo nashangaaa wapi OCs????