Nimepita na bodaboda naona njia nzima za mjini kuna wanajeshi wenye silaha na magari mengi sana, naambiwa njia ya Namtumbo wameweka road blocks za kutosha, Ruhuwiko kule kuna bodaboda wamesimamishwa, mbele ya hospital ya mkoa (Homso) zimepaki defender za kutosha zenye bendera nyekundu, kila anayehisiwa vibaya anasimamishwa hasa wa magari anasimamishwa na kuhojiwa/kupekuliwa...nasogea karibu na bank ya NMB naona wameanza kupiga mabomu ya machozi sijajua chanzo, nimeamua kusogea Mambo Leo kidogo kula, nitarudi mjini baadaye kupata taarifa kamili.
Nimepita na bodaboda naona njia nzima za mjini kuna wanajeshi wenye silaha na magari mengi sana, naambiwa njia ya Namtumbo wameweka road blocks za kutosha, Ruhuwiko kule kuna bodaboda wamesimamishwa, mbele ya hospital ya mkoa (Homso) zimepaki defender za kutosha zenye bendera nyekundu, kila anayehisiwa vibaya anasimamishwa hasa wa magari anasimamishwa na kuhojiwa/kupekuliwa...nasogea karibu na bank ya NMB naona wameanza kupiga mabomu ya machozi sijajua chanzo, nimeamua kusogea Mambo Leo kidogo kula, nitarudi mjini baadaye kupata taarifa kamili.
Na mimi nipo Songea sehem inaitwa Makambi, nimeuliza nikaambiwa ni mazoezi ya kawaida na nimeelezwa wapo hadi barabarani (za kwenda Njombe na Mtwara), mtoa taarifa wangu amenieleza kuwa pia hawa jamaa wametega mabomu (yasiyoua) pande hizi za milima ya Matogoro na watayalipua baadaye. Naambiwa pia ni trick ya kufichua na kuwathreat majambaz walioko mafichoni (kama wapo). Naendelea kuuliza uliza.
nipo mtini
Nimepita na bodaboda naona njia nzima za mjini kuna wanajeshi wenye silaha na magari mengi sana, naambiwa njia ya Namtumbo wameweka road blocks za kutosha, Ruhuwiko kule kuna bodaboda wamesimamishwa, mbele ya hospital ya mkoa (Homso) zimepaki defender za kutosha zenye bendera nyekundu, kila anayehisiwa vibaya anasimamishwa hasa wa magari anasimamishwa na kuhojiwa/kupekuliwa...nasogea karibu na bank ya NMB naona wameanza kupiga mabomu ya machozi sijajua chanzo, nimeamua kusogea Mambo Leo kidogo kula, nitarudi mjini baadaye kupata taarifa kamili.
Huwa mnasema Nchi haitakalika (MBOWE), sasa hayo manyunyu tu mlishakuwa na hofu ahhahhhah??? Usiogope kijana tuko kwenye mazoezi ya kawaida
Kwa taarifa nilizo zipata toka kwa moja ya rafiki yangu ambae mi mjeda kule songea kaniqmbia ni kwa sababu ya mapungufu yaliyo jitokeza katika uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kula kuna kasoro zimetokea hivo imeleta sinto fahamu na kupelekea wanainch kutaka kuandana hivo serikali imepeleka jesha kusambalatisha vikundi vya aina yoyote kuepuka vurugu.